Wazeee za asubuhi,gari imenisumbua tena haiendi mbele ila kurudi nyuma tu
Jana tulitengeneza valve sile ilikuwa ndo inavujisha hydraulic na ile sauti iliisha kabisa sasa hivi asubuhi haiendi mbele
Hi ndg nisaidie ushauri nina carina yangu 7A inasumbua kupanda mlima inachemsha. Nakkukosa nguvu hasa kwenye mlima
Pili hydraulic inaisha haraka yaan wiki 1 niliweka lita 4 leo iko low kabisa
.nikiweka d kuondoka gear inachelewa kuingia na kutoka na kuna sauti inatoka kama mshutuko then...
Lakini kama leo asubuhi imewaka ghafla ikazima tena nikawasha ikawaka livasi inakataa ikaenda mbele na kingine nimeona kama hydraulic imepungua japo nimeweka wiki 1 imepita lakini imeshuka sana
Habari za asubuhi naomba kujua kwa wale watajuzi wa magari gari yangu aina ya. Carina 7A inakosa nguvu mliman
Ukiweka d kuna sauti inatokea kwa mbele kabla ya kutembea na livasi lia hiyo sauti inatokea
Na kwenye mlima inaweza kuzima kabisa na kuchemsha naomba msaada plz na ushauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.