Nadhani wananchi wenzangu mtakubaliana nami kuwa Laini za simu zinapatikana kirahisi mno na zinatangazwa kila kona kila siku,
Lakini ikiwa tutahitaji kuondoa matapeli na wanaofanya matukio kwa kutumia simu, tuongeze gharama ya kununua line za simu iwe kama laki mbili kwa laini moja mpya ya...
nina mteja, Asma Hussein Natosa, anapo click ombi la kazi kama hatua ya mwisho inaleta error kua this nin is already registered with another account, please contact support, ni kweli tunaomba ifutwe akaunt emmyrajabu16@gmail.com kwa sababu haifunguki, na ilishauri tufungue nyingine. NIMEPIGA...
aaah maisha yote yanatawaliwa na kila kitu,kidogo au kikubwa kwako au kwa mwenzako au kwa wote, msaada mkubwa unaohitajiwa ni mawazo ya kushauriana, wengine wanajikuta jela katika mambo ya mapenzi, wengine wanajikuta ni wakimbizi suala ni hili hili na wengine suala jingine dogo au kubwa lakini...
umezungumza kifupi sana, vizuri sana na nimeamini kila ulilosema, kiasi kikubwa ni hivyo, mara nyingine anaweza kukuchagulia nguo akakopa kwa niaba yako, kwake ni nzuri lakini wewe ukamhurumia kwa nini amechagua hii mbona ni ya kawaida tu, yeye ameipenda pengine amekununulia.
Ni vizuri kuwa na mjadala wa aina hii, hayo yote ni kweli na yako zaidi ya hayo na ni kweli hata ufanye nini watu wenye nia mbaya wakikuhujumu wanaweza kukumaliza, ukiumwa ukahitaji kutibiwa nje ya nchi unalipiwa, ukisoma nje ya nchi unalipiwa, ukitaka kuoa ukipata mtoto anapozaliwa anaanzishiwa...
ni nzuri sana tu, ni msaada mkubwa wa ki maisha, na wanasema ukitaka kusaidia jamii ziba masikio maana wengi ni vichaa ingawa wanavaa viatu vilivyopigwa rangi nzuuri, Nyerere angewasikiliza watu wote, asingepata uhuru, endelea kuelimisha jamii.
Mapenzi ni kitu real, hayajawahi kuwa ya kuigiza na hayatakuja kuwa yamekwisha, maana kila siku tunasikia fulani kajiua kwa ajili ya fulani, fulani hana raha kwa ajili ya fulani, kama mapenzi ni kuigiza hivi inakuaje mtu aigize kujiua, na wanaojiua ni wanawake kwa wanaume, ndio mapenzi ya mpesa ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.