Recent content by 20fanaka

  1. 2

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Forever Arsenal
  2. 2

    Maandamano ya Aprili 26, 2018: Yanayojiri kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi

    Hatuez kuwafanya chchte wakiwa huko, wangekuwa anga zetu za AU.... Adhabu yao ni kibaki huko, waugulie huko, wafie huko, na ndugu zao waende huko, wakawazike huko, nyang'au hawa
  3. 2

    Maandamano ya Aprili 26, 2018: Yanayojiri kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi

    Hao waliofunika nyuso zao wanaogopa nini??? Wengine wametambulika na ni kama wamejitangaza kuukana Utanzania, otherwise....!!%@&#€¥*
  4. 2

    Watumishi wa Serikali waliopandishwa vyeo 2015/16 sasa kusomeka kuwa wamepanda vyeo tarehe 01 Aprili 2018

    S Naweza kuona jinsi watumishi walivyopooza na kugeuka watumwa, Sad...
  5. 2

    Hongera Serikali!! Watumishi wote waliopanda madaraja 2015/2016 wamarekebishiwa mishahara:

    Wale wa muundo mpya (mfano walimu kutoka E kwenda F ) bado kurekebishiwa, sjui km inaendana na maelezo ya barua ya November 1,2017 kuwa serikali itatoa maelekezo juu ya kundi hilo (sina hakika kama walitoa maelekezo yyte, wala vyama vya wafanyakazi sina hakika vimesema lolote hadi sasa)
  6. 2

    Hongera Serikali!! Watumishi wote waliopanda madaraja 2015/2016 wamarekebishiwa mishahara:

    Kuna watu hawajalipwa mishahara ya daraja jipya tena?
  7. 2

    Hongera Serikali!! Watumishi wote waliopanda madaraja 2015/2016 wamarekebishiwa mishahara:

    Sasa Sasa wewe utasababisha nyongeza ya mishahara iondolewe
  8. 2

    Hongera Serikali!! Watumishi wote waliopanda madaraja 2015/2016 wamarekebishiwa mishahara:

    Mmh ndugu kwa serikkali hii mbona majibu ni mengi, lkn nadhani vyama vya wafanyakazi vimeongea na serikali japo vipo kimya saaanaa
  9. 2

    Hongera Serikali!! Watumishi wote waliopanda madaraja 2015/2016 wamarekebishiwa mishahara:

    Kuna tetesi kuwa wakurugenzi wameagizwa kuwaandikia barua watumishi waliopanda madaraja kwa tarehe ya 1.November,2017 na si April 2018 km ilivyoagizwa hapa juzi. Hope watalipa malimbikizo angalau ya hiyo miezi 5
  10. 2

    Hongera Serikali!! Watumishi wote waliopanda madaraja 2015/2016 wamarekebishiwa mishahara:

    Rejea waraka wa Katibu Mkuu kuhusu watumishi waliositishiwa madaraja mwaka huo
  11. 2

    Watumishi wa Serikali waliopandishwa vyeo 2015/16 sasa kusomeka kuwa wamepanda vyeo tarehe 01 Aprili 2018

    Mshahara umetoka, mliorekebishiwa madaraja mtujuze bas
  12. 2

    Halima Mdee: Rais Magufuli, Serikali yako imechafuka, chutama uweze kujisitiri

    Hakuna kitu km hicho, hakuna upenyo wa kuiba, elimu ishatolewa fuatilia zaidi mkuu mijadala inayofuatia kuhusu hiyo 1.5, nakuhakikishia utaprove wrong baadae. Ni kwamba watu walishajipanga kuanza amsha'amsha ya matukio ya kuchochea maandamano ya 26.4 ambayo hayapo, tegemea vituko zaidi kuanzia...
Back
Top Bottom