Passport ya Tanzania
Kumiliki passport peke yake hakutoshi kumfanya mchezaji awe mzawa kwa mujibu wa kanuni za FIFA
2. Kanuni za FIFA Kuhusu Kubadilisha Shirikisho (Change of Association)
Kwa mujibu wa FIFA Regulations on the Status and Transfer of Players, mchezaji anapaswa:
Kupeleka maombi...
Sababu zinafanya kazi na serikali zao bega kwa bega. Kama kuna apps zinaweza kusoma taarifa zako kutoka ktk hizo apps zingine unawezaje kuamini hiyo huduma ya privacy?
Kama apps zinaweza, je software (OS) ya simu je?
Mataifa yamejificha kwa watu wake ili kupata taarifa, unainuliwa na...
Leo tukisema tunaweka sheria ili starlink aweke ofisi hapa nchini ya mtoa huduma ili watu wapate ajira nk.. raia wazo la kwanza ni serikali inataka kuminya huduma na wala hawafikirii kuwa kuna ujuzi, ajira nk vitapatikana.
Tumekuwa watu wakusaidia mabwenyenye kuendelea kututumia kwa manufaa yao
Uongo mtupu. Haya mkorokoro ni sehemu ya uharifu wa nchi za magharibi ndio maana mataifa mengi yanajilinda kama marekani yanavyojilinda na Tiktok.
Wanajua yanasaidia nchi husika katika kukusanya taarifa muhimu, TV za kamapuni kama LG ziligundulika kutumika kukusanya taarifa.
Mambo ni mengi mno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.