Recent content by 2025 Oct 29

  1. 2

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Huwezi kuua watu wote wale halafu unenepe who are you?
  2. 2

    Je, tukishamaliza kuuza Dhahabu, tutauza nini tena?

    Mimi nashauri nchi iuzwe kila mtu agawiwe chake, watakaobaki bongo waish kama wapangaji wengine tukatafute maisha sehem nyingine hii Dunia mbona kubwa sana
  3. 2

    Je, Tumekubali yaishe? Tumewaachia wajihesabie ushindi watafune nchi wawezavyo?

    Wao wana majeshi na silaha sisi tunae Mungu Wacha tumuachie Mungu yeye ataingilia kati dhoruba hii na atajibu Kwa wakati!
  4. 2

    Kinachoenda kutokea Tanzania

    Na mapenz ya Bwana yatimizwe!
  5. 2

    Nikiona bendera inapepea nusu mlingoti kisa mtu mmoja nitashangaa sana

    Nahisi wamemficha ili kuzima agenda ya maandamano watu waanze kumjadili bibi yule!!! Kwan who is she mpk tuanze kumuulizia alipo??? Kikubwa tuendelee tu kujadili tunatokaje hapa kama taifa.she's too small to discuss her!!
  6. 2

    PostGE2025 Kama demands zetu hazitotimia kwenye D9, tutakuja na J12

    Sisi tu mavumbi na mavumbini tutarudi! No hate no fear!!
  7. 2

    Watanzania hatuelewi tunachotaka,ni roho mbaya tu

    Ni kweli kabisa hizi vurugu zote zilianza wakati wa jpm ila kuumbuka samia alikua msaidiz wa jpm na kikatiba yeye ni mshauri wa rais kwahyo yawezekana Yale aliyoyaasisi jpm maovu mshauri wake alikua ni samia!! Yote tisa kosa halifutwi Kwa kosa Jpm alikua na makosa yake na tuliyapinga hata samia...
  8. 2

    PostGE2025 Kama demands zetu hazitotimia kwenye D9, tutakuja na J12

    Tunakula ili tuishi hatuishi ili tule mkuu!! Use your headquarter.
  9. 2

    PostGE2025 Kama demands zetu hazitotimia kwenye D9, tutakuja na J12

    Akitushindwa tutamshitaki Kwa Mungu yeye atajibu Kwa wakati wale hakawiii damu za watu waliouwawa zinalia ardhini
  10. 2

    PostGE2025 Rais Samia akutana na Kaimu Balozi wa Marekani

    Zile sio hotuba Ile ni michambo ya kuchemshwa
  11. 2

    PostGE2025 Rais Samia akutana na Kaimu Balozi wa Marekani

    Body language yake inaonesha ana wasiwasi mda wowote anaweza kutimua mbio!!!
  12. 2

    PostGE2025 Wizara ya Elimu: Kesho Desemba 9 hapatakuwa na masomo wala shughuli zozote za kielimu

    Hivi elimu ya naibu waziri amesomea wapi au ndo wale waliosoma chuo kjachopatkana ghorofa namba 4 huku namba Moja mpk 3 Kuna huduma zngne zisizohusiana na mambo ya elimu
  13. 2

    Dark days 17/03/20

    Duh!!
  14. 2

    Hivi mmegundua hata CCM ni kama wanajitenga na Rais? Anatetewa na masheikh tu sasa

    Hakuna kazi ngumu kama kumtetea samia nyakati hizi
  15. 2

    Hivi mmegundua hata CCM ni kama wanajitenga na Rais? Anatetewa na masheikh tu sasa

    Ni kweli kabisa nyumba yake ilichomwa moto pamoja na mahakama ya mwanzo apa bunda
Back
Top Bottom