Ukiishi mjini kwanza ukapigika ukarud kijijin utakuwa na mawazo chanya sana na kujituma sana Ila ukiishi kijijin maisha Yako yote unakuwa na mawazo mgando ndo ukiwa na kapikpik tu unajiona Bora ukijifananisha na wengne.
Acha pressure na mwandiko haumwandikii mwanamke kumtongoza napo zamani walikuwa wanasema samahan kwa mwandiko nimeandikia kijinga Cha moto so tunaangalia ujumbe
Blaza umekutana nae ukiwa na umri wa miaka mingap!? Kabla ya yy ulikuwa unaishije!?, Kama mama Yako alie kubeba miez tisa na kunyonyeshaa miaka miwili huenda na Zaid alikubal kukuacha ww uwende zako na ww pia unaweza muacha huyo mwanamke aende zake maana naona kabisaa utazeeka kabla ya siku
Nurses are Suma jkt.....wanamgambo ...walinzi....na wabeba lawa zote za hospital...pia hawapendan, hawana umoja (degree level four years plus one yr for internship but TGHS n C instead of D Tangu 1989 kuanzishwa kwa degree level)
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.