Recent content by 19dony

  1. 1

    KUKOMBOA MZIGO AIRPORT

    Mdau swissport wanatunza mizigo tu Taratibu za malipo hufanywa na tra 1. Doc zote hutumwa tra long room kwa TANSIS SYS 2. Baada ya malipo kutoka utatakiwa kulipia ushuru kulingana na bei ulizo pewa HAPO lzm ukubali kama kuna uplift kama hakuna basi utalipa kutokana na invoice yako 3. Agent...
  2. 1

    Majina ya kihehe

    Sasa kama hata mboga za majani ni majina na pombe Macholo mkangafu delega nyadogi na kihagi hapana umedanganya tuwe wakweli
  3. 1

    Barabara ya fly over TAZARA, itapunguza foleni?

    Nakubaliana na mtoa post kuna faida gani kupita mbio tazara alafu ukifika relini unakutana na foleni ya mataa ya changombe Pia sioni tija ya hizi traffic light za vingunguti jet airport na njiapanda ya Segerea Zimekuwa sababu kubwa ya foleni zisizo na msingi Ingejengwa njia 6 zingetosha...
  4. 1

    Tupia majina ya baa za kibongo

    Ghafra gani bar -majohe ilala
Back
Top Bottom