Recent content by 1987SANAWA

  1. 1987SANAWA

    Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    Alisema mtungi kama mtungi au mtungi wenye gesi?
  2. 1987SANAWA

    Nini hatima ya watanzania, Inatosha sasa! Yaliyosemwa na Dkt. Slaa na Polepole yanaumiza

    Kwa Tanzania hata wakuu wa vyombo vya usalama ni makada kindakindaki na wanamarupurupu ya kufa mtu, ili mradi mambo yao yanaenda hawawezi kamwe kutii amri yako
  3. 1987SANAWA

    Polepole hajui vyeo vina limit sio kila Cheo mtu aweza geuka kuwa mshauri Raisi .Polepole hajawahi teuliwa mshauri wa Raisi

    Ndugu kuna watu wameajiriwa kama washauri, lakini haizuii watumishi wengine kumshauri. Mf, mtumishi mdogo wa halmashauri anaweza kumshauri mkurugenzi namna ya kuboresha utendaji wa ofisi, hata waziri mkuu anaweza kushauriwa na sekretari. Kimsingi watumishi wa serikali wanafanyakazi Kwa niaba ya...
  4. 1987SANAWA

    Kumbe Sponsors bado wapo, nilidhani hali ngumu wametulia na wazee wenzao

    Hii chai ni tamu sana, unatuona makalio yako
  5. 1987SANAWA

    inatia simanzi: Conclusion by hon Lissu

    Zamani nilijua nyanj Ngabu ana akili sana, kupitia huu ujumbe wake nmejifunza kitu
  6. 1987SANAWA

    GE2025 Bila Tundu Lissu Kuachiliwa na CHADEMA Kuruhusiwa, uhalali wa Rais Samia Suluhu utahojiwa

    Hata bila kampeni Samia anashinda kwasababu tume ya uchaguzi ni waajiriwa wake, polisi, mahakama,magereza vyote vyake. Ushindi wake hautokani na ushawishi au mvuto kwa WaTanzania.
  7. 1987SANAWA

    GE2025 CCM yaitwa Mahakamani August 5, kuhusiana na mgombea Urais kuvunja Katiba

    Kesi ya CCM, msajili wa vyama CCM, jaji CCM unategemea haki itatendeka?
  8. 1987SANAWA

    GE2025 Mahakama yaamuru mashahidi kesi ya Tundu Lissu walindwe

    Tukiendelea kumchekea mzenji atatumaliza maana ana chuki binafsi na wabara. Mwenyezi Mungu tafadhali ingilia kati kuanzia majaji, mahakimu, ofisi ya DPP na kimama ikikupendeza wafutilie mbali maana wamekuwa maadui wa haki na wakandamizaji wa Taifa
  9. 1987SANAWA

    GE2025 Mama Salma Kikwete kugombea ubunge ni kujivinjia heshima aliyoijenga miaka mingi

    Umesahau kimoja, analipwa mshahara wa u first lady asilimia 20 ya mshahara wa Rais aliepo madarakani mf; Rais analipwa 100milioni yeye anakula 20m jumlisha 18m ya ubunge
  10. 1987SANAWA

    Msajili wa vyama vya siasa hatuoni akichukua hatua zozote kwa mgombea batili wa CCM anakomaa tu na CHADEMA

    Yeye mwenyewe ana kadi ya chama, pia post yake ni ya kichama unategemea nn?
  11. 1987SANAWA

    Je ni hali ngumu? Rais Samia Kusafiri na Kisimbuzi cha Azam kila aendapo?

    Mwenye nchi na vyote vilivyomo asumbuliwe na kisimbuzi? Hampo serious. Unapokokuwa Rais Kwa nchi za Africa Huwa ni fursa ya kuwa Trilionea. Hivyo Rais ni Tajiri na mjasiriamali mkubwa, viongozi na wafanyabiashara wote hujipendekeza kwake, na humpelekea mali pomoni, Rais hafikirii mambo madogo...
  12. 1987SANAWA

    Madaraka Nyerere: Yule mwingine nafahamu alianza vipi kuwa Bin Nyerere, huyu bado sijapata taarifa kamili nikishafahamu Nitazungumza!

    Madaraka Nyerere aache kiherehere, Watoto wa Marais wengine wamefanya na wanafanya mambo makubwa kupitia majina ya Baba zao, Yeye kazi yake ni kuzuia lisitumike jina la Baba ake. Kwa taarifa yake, Baba ako akiwa Rais anakuwa ni Baba wa wote. Pili Baba yake sio Rais tu bali Baba wa Taifa
  13. 1987SANAWA

    Mtu mwenye akili timamu anawezaje kushabikia Simba na Yanga na ligi ya Tanzania?

    Binafsi nakuelewa sana. Kwa nchi yetu kuanzia serikali, na Taasis mbalimbali zinaendeshwa kihuni, hakuna weledi, ni siasa, udini na kujuana, uwezo hauzingatiwi kabisa hivyo haiwezekani kupiga hatua hata siku moja. Hakuna kiongozi mzalendo Wala mwenye nia njema na nchi ni mwendo wa ubinafsi na...
Back
Top Bottom