Hatuwezi kuendelea hata siku moja Kwa mipango mibovu kama hii ya kununua magari ya gharama wakati serikali imeshindwa kutekeleza majukumu yake mengi ya msingi mf; kurekebisha Miundo mbinu ya miji mikubwa, km Arusha, Dar nk. Nchi nyingi kwasasa zinabana matumizi na Kutafuta namna ya kuongeza...
Umemaliza Kila kitu mkuu, Kwa kuongezea tu, Rais ndio serikali na anapaswa kuwa bungeni, kutokana na kuwa na kazi nyingi, anawakilishwa bungeni na Waziri mkuu, hivyo waziri mkuu ni mwakilishi wa Rais Bungeni hivyo anakuwa ni mkubwa kuliko spika wa Bunge. Rais ana wasaidizi wanne ambao yupo...
Ukiona CAG anavyoongea Kwa uchungu utafikiri Ofisi yake ni safi. Kimsingi nchi yetu zaidi ya 78% ya Ofisi za Umma Kuna matumizi mabaya ya Ofisi. Hakuna uwazi wa mapato na matumizi, tunahtj katiba itakayosisitiza uwazi na uwajibikaji
una ushahidi kuwa clouds walimtema? Walioondoka clouds na kuhamia EFM walitemwa? Inawezekana mtu akawa na uwezo mdogo akaajiliwa DSTV kuwa mchambuzi wa soka? Tujifunze kuheshimu talanta za watu, amefika alipo kwasababu ya uwezo.
Ndugu yangu unaishi dunia ipi? Kwa teknolojia iliyopo ya government mailing system na e-office hata Rais akiwa marekani, makomu Wa rais Zanzibar, kila office ikawa mkoa wake hamna kinachoharibika.
Kama Mwenye mamlaka hakuhitaji anakustaafisha muda wowote, ila kama anakuhitaji hata muda ukipita anakuacha ndio maana Mama Ngwira analingana na Makongoro Ila mmoja amestaafu mmoja ameingia
Anatumika na shetani
Mwenyezi Mungu ni mvumilivu sana ndio maana hata ukimkosoa anakuchora tu ila asingekuwa na ustahimilivu tungeshapotea. Mwenye Mungu amsamehe na amuumbie moyo mpya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.