Recent content by 1987SANAWA

  1. 1987SANAWA

    Serikali kutumia Tsh. Bilioni 190.57 kununua V8 mpya za Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Ujenzi wa Makazi na Utawala

    Hatuwezi kuendelea hata siku moja Kwa mipango mibovu kama hii ya kununua magari ya gharama wakati serikali imeshindwa kutekeleza majukumu yake mengi ya msingi mf; kurekebisha Miundo mbinu ya miji mikubwa, km Arusha, Dar nk. Nchi nyingi kwasasa zinabana matumizi na Kutafuta namna ya kuongeza...
  2. 1987SANAWA

    ITIFAKI: Ni nani Mkubwa kati ya Waziri Mkuu na Spika wa Bunge?

    Umemaliza Kila kitu mkuu, Kwa kuongezea tu, Rais ndio serikali na anapaswa kuwa bungeni, kutokana na kuwa na kazi nyingi, anawakilishwa bungeni na Waziri mkuu, hivyo waziri mkuu ni mwakilishi wa Rais Bungeni hivyo anakuwa ni mkubwa kuliko spika wa Bunge. Rais ana wasaidizi wanne ambao yupo...
  3. 1987SANAWA

    Amri ya sita (Usizini)

    Kutoka 20 na kumbukumbu la yorati 5
  4. 1987SANAWA

    Kesho tarehe 07/04/2024 ni siku rasmi ya Uzinduzi wa shughuli za D. P. WORLD nchini Tanzania

    Mwanzo hakukuwa na upigaji? Kama ufanisi ungekuwepo DPWorld wasingepewa nafasi
  5. 1987SANAWA

    Katiba mpya iondoe hili suala la CAG kuisomea ripoti Serikali ikiwa wao ndiyo wana makosa mengi

    Ukiona CAG anavyoongea Kwa uchungu utafikiri Ofisi yake ni safi. Kimsingi nchi yetu zaidi ya 78% ya Ofisi za Umma Kuna matumizi mabaya ya Ofisi. Hakuna uwazi wa mapato na matumizi, tunahtj katiba itakayosisitiza uwazi na uwajibikaji
  6. 1987SANAWA

    Unamzungumziaje mchambuzi Geoff Lea

    una ushahidi kuwa clouds walimtema? Walioondoka clouds na kuhamia EFM walitemwa? Inawezekana mtu akawa na uwezo mdogo akaajiliwa DSTV kuwa mchambuzi wa soka? Tujifunze kuheshimu talanta za watu, amefika alipo kwasababu ya uwezo.
  7. 1987SANAWA

    Unamzungumziaje mchambuzi Geoff Lea

    kama hamna wachambuzi DSTV inawapaje kazi kuchambua ligi kuu ya uingereza?
  8. 1987SANAWA

    Kwanini RC wa Manyara, Makongoro Nyerere alimpigia saluti ya kijeshi Rais wakati wa kiapo?

    Hakupiga saluti, alitoa heshima ambayo mwanajeshi yoyote ambae hajavaa uniform anapaswa kuitoa.
  9. 1987SANAWA

    Rais na Taasisi saidizi zirudi Dar es Salaam, Makamu wa Rais abaki Dodoma

    Ndugu yangu unaishi dunia ipi? Kwa teknolojia iliyopo ya government mailing system na e-office hata Rais akiwa marekani, makomu Wa rais Zanzibar, kila office ikawa mkoa wake hamna kinachoharibika.
  10. 1987SANAWA

    Anayefahamu umri na sababu ya kutostaafu utumishi wa umma Dkt. Mahenge atufahamishe

    Kama Mwenye mamlaka hakuhitaji anakustaafisha muda wowote, ila kama anakuhitaji hata muda ukipita anakuacha ndio maana Mama Ngwira analingana na Makongoro Ila mmoja amestaafu mmoja ameingia
  11. 1987SANAWA

    Hizi ndizo sehemu za mwili wa binadamu zenye kasoro kiuumbaji

    Anatumika na shetani Mwenyezi Mungu ni mvumilivu sana ndio maana hata ukimkosoa anakuchora tu ila asingekuwa na ustahimilivu tungeshapotea. Mwenye Mungu amsamehe na amuumbie moyo mpya
  12. 1987SANAWA

    Mabinti wanaoikaribia 30 wana kiu kali ya ndoa

    Serikali ya Magufuli iingilie kati hili swala.
Back
Top Bottom