If she manage to get a Presidential ticket for CCM, She will automatically be defeated by UKAWA candidate. She is actually not performing well as National assembly Speaker. It is high time for her to retire from politics.
He is very brilliant MP. The people of Ubungo Constituency should give him another term to be their Member of Parliament. I urge Hon. Mnyika to pursue LLB from any recognized University as to prove to the community that you are the best law maker. Bravo Hon. Mnyika.
Mimi walinikamata kwenye mpaka wa Busega na Bunda na kuniambia nilipe faini ya Tshs.30,000 ya kutokuwa na stika. Nikakubali kwa sharti kuwa nikitoa fedha zangu lazima nipewe ERV ya Serikali. Kumbe huwa hawana ERV wanatumia makaratasi ya vitabu vya kuandikia makosa kama ERV eti utoe fedha. Mimi...
Jana hata Mhe. Spika alimshangaa. Mhe. Spika alimweleza kuwa weka sentensi ya kisheria sawa kwa kumuuliza kuwa MTUHUMIWA WA MADAWA YA KULEVYA ATALIPISHWA FAINI YA BILLIONI MOJA PAMOJA NA KIFUNGO CHA MAISHA je hiyo sentensi ni sawa?. Yeye akaanza kubabaika mpaka Mhe. Spika akaona aibu sana na kwa...
Huyu nj janga la Taifa. Kwa kweli ni AIBU AIBU kubwa kuwa na AG wa namna hii. Nashauri uteuzi wake utenguliwe mara moja. Nani amewahi kumwona AG wa Kenya Prof. Muigai akijenga hoja zake za waendesha Mashtaka wa ICC juu ya kesi ya Mhe. Uhuru Kenyatta. Utaona alivyoiva kisheria lakini huyu wa...
Mayweather hamwezi PAC. Yule jamaa ni hatari. Ule mpambano wa Mayweather na Mmexico kama mlifuatilia vizuri Mmexico alimshinda kwa point. Mayweather kwa kweli alipendelewa. May 2, mtakubaliana nami.
Kwanza napenda kukusalimu kwa Jina la Bwana. Kumekuwa na tabia ya Maaskari wa Barabarani kutoza faini kwa makosa mbalimbali hasa za barabarani. Unapopatikana na kosa unajaziwa karatasi ya makosa na mtu kukiri kosa lake kwa kuweka saini kwenye hiyo karatasi. Baadaye unaambiwa kutoa Tshs.30,000...
Napenda kutoa MASIKITIKO yangu makubwa kwa mgawo wa umeme Jijini Mwanza jinsi unavyokera na kuleta usumbufu mkubwa kwa wananchi. Kwanza kama kuna mgawo wa umeme tunatakiwa kutangaziwa kwenye vyombo vya habari au kupitia magari ya matangazo. Hapa Mwanza maeneo ya Nyakato, Mwananchi sasa imekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.