Recent content by 14Henry

  1. 14Henry

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hali yetu imekuwa ngumu kupita kiasi :(:(
  2. 14Henry

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nilifikiri ni mara ya kwanza. Lilikuwa goli zuri kwa kweli na reaction ilikuwa enjoyable. Ningekuwa na wasiwasi wa ushindi ningemind ila niliweza kuenjoy maana nilijua tutashinda tu. Yale yale ya Leicester City kutangulia na kufungwa.
  3. 14Henry

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Yes, ila kabla ya hapo nadhani tulikuwa tumeshinda mechi moja 1/4 kama sikosei, na moja tulidraw mbili tulifungwa. Hapo points 4/12 . Sikumbuki mara ya mwisho kushinda mechi 5 mfululizo. Hapa ndo maana nasema kushinda mechi imekuwa shida. Tutashinda moja, tutadraw inayoufuata...cycle continues...
  4. 14Henry

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Shida yetu siyo mechi ya Liverpool, hawa washakuwa kama shirika la misaada kutoa toa mapointi kwa kila anayehitaji naona nasisis watatuhurumia na kutupa point 3 muhimu kwa mioyo yao mema. Tatizo ni hatujaweza kushinda mechi kadhaa mfululizo, hata kwa timu 'ndogo'. Kwa sasa tunapaswa kushinda...
  5. 14Henry

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ingawa nilijua tutashinda mechi, nilifurahi kuona wenzake Lamela wanavyomkimbilia wakishika vichwa kama hawaamini lile goli lilivyofungwa. Yaani ule mshangao na furaha yao kibinadamu nilifurahi kuona nikajisemea 'huu ndo mpira + burudani, bonge la goli' huku pia nikijisemea kuwa hawa Spurs...
  6. 14Henry

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Liverpool imekuwa chemchem ya point 3. Kila anayehitaji anaenda kuchota tu.
  7. 14Henry

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tuko pamoja mkuu :D:D
  8. 14Henry

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Fulham wamepambana aisee. Acha washinde tu
  9. 14Henry

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kusema hatumtaki kunafanya dau lake lishuke au siyo? Kibiashara tunakosea hapa
  10. 14Henry

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Jermaine Penant alisema hivi jana pia
  11. 14Henry

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Saliba ni right footed nadhani. Yeye anapambania nafasi na Holding
  12. 14Henry

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mimi nilimuona tu kama kijana anayejiamini na ameona anastahili kucheza mbele ya wanaochaguliwa. Siichukulii kama dhihaka. Mimi mwenyewe huwa naona kama Arteta anakosea mara nyingine kwenye uteuzi wa timu. Labda kosa kubwa la Saliba liwe kusema wakati yeye ni mchezaji ndani ya timu, tofauti na...
  13. 14Henry

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hapa nisiemkubali ni Guendo. Saliba sijamuona vya kutosha kusema namuona mzuri ama mbovu. Guendo namuona mzito mzito.
  14. 14Henry

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Yale maneno ya kipindi kile aliposema alikuwa disappointed kwa kutokucheza na hakuelewa kwa nini hachezi?
  15. 14Henry

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Si mbaya akirudi maana David Luiz anakaribia kustaafu. Akiwa vizuri hatutakuwa na haja ya kutafuta beki, kazi ibaki kwa wingback na CAM
Back
Top Bottom