Recent content by 12345678albin

  1. 1

    Waziri Jafo: Tanzania Bara kuingia Zanzibar kwa pasipoti ni kujirudisha nyuma

    Na wazanzibari kuingia bara eaingie na passport pia ,mbeleni huko wataishi juu ya maji wasipoacha huo ubinafsi ,waasisi wetu waliona mbali kufanya mungano huu ili Zanzibar ikijaa watu wapungue kuishi bara kama ilivyo sada
  2. 1

    Tunarudi enzi za Ben Mkapa. Nawaona CHADEMA wakinyong'onyea kama CUF!

    Bora wangemwacha makonda sasa apa uenezi mmmh
  3. 1

    Je, huwa unafuatilia uwasilishwaji wa Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)?

    Tamatizo kubwa wale walibainika kataika ripoti hizi tangu uhuru wa nchi hii hakuna aleiwajibishwa ,sasa no heri waache tu wale Kodi zetu na mikopo mabilioni wanayokopa kwa wazugu sisi lala hoi tutaishi kwa neema za mwenyezi mungu
  4. 1

    Waziri Aweso aigaza DAWASA kuboresha miundombinu ya uzalishaji maji ya Ruvu Chini na Ruvu Juu

    Kati ya mawaziri wanaopiga kazi jumma awesso ni no moja 💪💪💪💪Kuna wengine wanafki tu ,maji ni uhai na papu kununua serikali inashindwa wp shinda ni watu janjajanja nyingi
  5. 1

    Tazama kiwango cha Madeni ya Nchi za Afrika Mashariki kilichokopwa IMF

    Kama kwetu apa Tanzania pesa zinakopwa alafu inaliwa na watu bila kujali maoni yangu fedha za serikali wabunge watunge sheria Kali ikiwemo mtu akidhibitika amekula fedha za umma anyongwe ata kuliko kutia nchi madeni kwa matumbo ya wachache
  6. 1

    Tunateseka kwenye foleni Kibaigwa (Dodoma) kwa zaidi ya saa tano, inadaiwa kuna msafara wa kiongozi

    Hii tabia ya inakera kweli mimi nashauri wangefunga ata upande moja wa Barabara ili kupunguza foleni hizi Hali kama hii imezoeleka ,mtu anaeenda kutafuta riziki ya kula watoto anakaa daladala masaa 6 cjui jioni akirudi huyo kiongozi anaepita kama atamsaidia
  7. 1

    Kwanini TANESCO isivunjwe?

    Umeme kukatika ni hujuma tu kipindi cha magufuli mbn haukatiki kwan alikuwa anautoa chato??na 2025 cjui wanalipi kwa wananchi wanaokosa umeme kila Kona ya nchi.
Back
Top Bottom