Recent content by 1230025

  1. 1230025

    Mtu akikutishia kukuua wewe na familia yako unatakiwa kufanyaje?

    MWACHIE MUNGU. TENA SAMEHE 7 MARA SABINI
  2. 1230025

    Kuna uwezekano wa Mungu kuwa na nguvu sawa kitu alichokiumba (shetani)?

    Sasa mbona mwanadamu analaumiwa sana kwani binadamu kajiumba
  3. 1230025

    Shetani ni tajiri kuliko Mungu hapa duniani

    Mbona shetani wa stahili hii hayupo sasa hivi? Shetani wa zamani alikuwa anafuata watu anazungumza nao ana kwa ana Shetani alimfuata Eva bustani ya Edeni akamlaghai akala tunda. Shetani huyohuyo alimfuata hadi Yesu Mungu wa watu kwa ajili ya kumjaribu . Mbona shetani naye kama hachunguziki...
  4. 1230025

    Kuna uwezekano wa Mungu kuwa na nguvu sawa kitu alichokiumba (shetani)?

    Kwa maana hiyo MUNGU ndiye aliyemuumbia mwanadamu tamaa na halafu tamaa hiyo hiyo ndiyo inakuwa mwanzo wa anguko la mwanadamu. Hivi leo hii mhandisi akikabidhiwa daraja ajenge, akajenga baada muda fulani likabomoka, Je, atakaelaumiwa atakuwa ni mhandisi au daraja lililobomoka?
  5. 1230025

    Hivi watu weusi duniani kote tuna matatizo? Haiti ina miaka zaidi ya 200 ya uhuru lakini maendeleo haifikii South Korea

    Biblia yenyewe ililetwa ili MwAfrika atawaliwe bila mapepe yeyote .. Sahivi unatumia kujitizamia wewe ni nani? Hawezi kukusifia kwa namna yoyote. Mzungu alichokifanya alitawala Afrika akatawala na fikra za Mwafrika. Tumepata uhuru lakini kifikra bado wengi ni colonised
Back
Top Bottom