Anophelesi
Unachokisema ni kweli kabsa. Tena hii Star TV ndo balaa kuna clip wanaweka ya ccm huku Mh Lowasa na Sumaye alivyokuwa ccm wakiongea.Hii nafikiri sio sawa kabsa.
Nafikiri Ukawa na wao waweke za kwao hata siku 2 tu.
Mpk sasa nashindwa kuelewa nia yake Dr Slaa ni nini haswa ktk mchakato huu.Je huyu ni kiongozi ambaye kweli anaweza kuwa Mentor wako?Je ni kiongozi ambaye unaweza jisifia naye?Sioni akitumia bura ktk mambo yake. Kwa kweli amekuwa kichefu chefu.
Sisi tuko pamoja na ukawa na lowasa.Hii safari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.