Hakuna mahusiano Kati ya mwanadamu na majini.
Hayo ni mashetani yanawadanganya.
Muombeni Mungu awalinde na hao mnaowaita majini.
Maana naona mnawapa promo Wakati mnapotosha. Acheni kupotosha. Muombeni Mungu awape rehema na sio majini.
Ahsante
Malofa tuh watu wa bara. Washamba hawajui ata maisha ni nn.
Ngoja waje pwani wajifunze maisha. Watafaham kuwa maisha ni zaidi ya kujenga.
Pwani maisha ni kula vzr, kufurahi, kuheshimiana, kutaniana n.k
Wakati bara maisha ni kushindana na kutambiana, kujitesa.
Watu wa bara washamba tuh. Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.