Recent content by 100miles

  1. 1

    JamiiForums Tanzania Kenya Kununua Magunia Milioni 11 ya Mahindi kutoka Zambia Kwa bei Kubwa na Kuikacha Tanzania Yenye Mahindi Mengi ya Bei Chee.

    Hii hoja ni muhimu Sana, Huku ruvuma mpaka sasa hatujui hatma ya mahindi ni nn. Kumbuka tunalima na kuuza ili kupata pesa ya kununulia mbolea na madawa. Lkn mpaka sasa hakuna mnunuaji. Imagine bei ni Mia tatu huku mpitimbi, Serikali ifanye Jambo. Wakulima tunaumia
  2. 1

    JamiiForums Tanzania Majiko banifu kupunguza matumizi ya mkaa na kuni Mbeya

    Inatofauti gani na project ya jiko koa ambayo ilikuwa na majiko mazuri zaid? Angalia mfano
  3. 1

    JamiiForums Tanzania Mwisho wa Dunia kimya kimya

    Umepotea mazima mleta hadith
  4. 1

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Ratiba ya malipo ya mshahara kwa mwaka huu 2025 Ni kama ifuatavyo
  5. 1

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Jipatie TV, redio, home theater, pasi, majiko soundbar na vingine vingi kwa bei ya store

    Hii bei ya pump ni pamoja na mpira wake au pump kama pump?? Ikiwa ni pump kama pump je mpira wake unauzajwe maana nahitaji moja
  6. 1

    JamiiForums Tanzania Mwisho wa Dunia kimya kimya

    Boss kimya sana, Shusha muendelezo
  7. 1

    JamiiForums Tanzania Mwisho wa Dunia kimya kimya

    Mtunzi ni bonge moja la story hongera
  8. 1

    JamiiForums Tanzania USDT ni Nini? Kwa Nini Inaaminika Kama Dola ya Kidijitali?

    Sina elimu navyo aya mambo. Ngoja nitafute mtaalam pesa zangu za kahawa niweke huko
  9. 1

    JamiiForums Tanzania USDT ni Nini? Kwa Nini Inaaminika Kama Dola ya Kidijitali?

    Ili mtu aweze kumiliki hiyo akaunt anahitaji vitu gani??
  10. 1

    JamiiForums Tanzania Elimu na maarifa ya ziada

    Nan ananunua hawa beetle kwetu tanga wapo wengi wanaharibu minazi tuh, Niambiea wap soko linapatikana niwapelekee
  11. 1

    JamiiForums Tanzania The dark side of business

    Umetisha sana
  12. 1

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    ELIMU HAINA MWISHO
  13. 1

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Sawa
  14. 1

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Naomba unipeleke kwenye nyuzi zako ambazo umewahi kuandika kuhusu masuala ya kiroho. Ahsante
  15. 1

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Hakuna mahusiano Kati ya mwanadamu na majini. Hayo ni mashetani yanawadanganya. Muombeni Mungu awalinde na hao mnaowaita majini. Maana naona mnawapa promo Wakati mnapotosha. Acheni kupotosha. Muombeni Mungu awape rehema na sio majini. Ahsante
Back
Top Bottom