Huyo ni maskini wa akili kwa kiwango cha lami,
umempa mtaji afu anaanza kukuwekea masharti ya kwamba hajui ni kwa nini umechelewa kwenda kumtembelea, kwa haraka gani aliyonayo mpaka anakukimbia donor wake , na hawa ndiyo wanaosababisha wenye matatizo ya kweli waashindwe kusaidiwa
mimi pia nimejitahidi sana kutokuangalia hizi picha maana moyo unahamia mgongoni, ikija wasap yyt nikiona ina dalili ya kuwa na picha za wtt wetu wapendwa nazifuta haraka sana,,
In short, we are speechless.....
ndoto za watoto wetu wapendwa zimezimika kama mshumaa uliowashwa katikati ya upepo mkali
pole sana paka Jimmy ni Mungu pekee ndiye atakaeweza kukuvusha katika magumu haya,,
Siwalaumu sana wakuu wa mikoa na wilaya kwa maamuzi wanayochukua, hii yote ni katika kuona kuwa wanamfurahisha mkuu ili kulinda vibarua vyao, kumbe wanaharibu maskini kazi imekuwa ngumu kuliko kipindi chochote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.