Kuna tofauti kibwa sana kati ya kuchaganya dini na SIASA na Kuchanganya DINI na SERIKALI.
Tunataka katiba mpya inayozuia watwala kuchanganya DINI na SERIKALI .
Siasa na dini kama kuna katiba bora haina shida kabisa maana kazi ya dini ni kupigania haki za mwanadam muda wote bila dhulma kutawala...
Tumwelewe Polepole.
Hii nchi mifumo yake imetekwa na wahuni wachche sana ambao hawana uchungu na maisha ya wazawa hasa Watanganyika .
Mfano hizi benki kama NMB na CRDB zinakuza mitaji yao kwa kunyonya wazawa halafu faida wanakula mafisadi wanaoficha pesa ndani na kutakatisha pesa kwa kununua...
Sio kweli .
JPM alijenga sana nchi kitaasisi .
Na kimiundo mbinu .
Hivi unaona magari yanayonunuliwa huko Halmashauri na idara Nyingine yalivyo ya kifahari na ya bei kubwa . Hilo nalo kweli ni jambo la kutumia darubini kuona kuwa linamaliza fedha za maendeleo .
Masoko yalijengwa vizuri ili...
Zito ni kama Mbowe yeye hataki kugimbea urais anataka ubunge yaani anamtanguliza Mtu mwingine halafu yeye anapiga hela za ubunge .
Sasa mpina anagombea urais ili iweje maana hawezi kupata kura hata laki tano .
Mpina alitakiwa akae kimya tu ndani ya CCM maana alikua anamsifia sana Mama ...
Vita ya wenyewe kwa wenyewe hua inasababishwa na watawala kukubali kununuliwa na mafisadi yasiyojali maslahi ya nchi.
KONGO aliyesababisha vita ni Mabutu na jeshi lake kuwaua wote waliojali maslahi ya umma.
Tanzania hakuna uwezekano wa kuuana bila serikali kuhusika .
Mfano . Leo hii Kule...
Ukristo ni ufalme wa Mungu duniani .
Uislama ni dini na mila na desturi za waarabu.
Ndio maana hata wakimkuta mrusto amevaa hijabu wanakasirika wakidhani wanadhibakiwa .
Mkristo ukiwaambia asalam aleiku wanakasirika .
Ukiingia msikitini wanakasirika ,ukishika Korani wanakasirika,ukiwaonyesha...
Nyerere huwezi kumlinganisha na makuwadi wa mabeberu .
Nyerere huwezi kumlinganisha na wahuni .
Nyerere huwezi kumlinganisha na watu waliotengeneza mitandao ya kuua watu ,kununua wapiga kura , kuuza rasilimali za nchi kwa mabeberu na kutumia dini kama ngao kwa kutoa rushwa misikitini na...
Hakuna mwanajeshwi anayeshika bunduki na kuua raia . Haijawahi kutokea katika nchi za kidemokrasia .
Siku ukiona nchi yoyote wanajeshi wanaua raia basi nchi hiyo inagawanyika vipande vipande na haitatawalika tena . Lakini polisi wanapotumiwa na watawala dhalimu kuua raia basi siku zote jeshi...
Hivi kweli zito kabwe mnafiki na fisadi wa kiwango cha PHD anawezaje kumshinda Baba Level .
NI Bora wananchi wote wa vyma vyote wahakikishe Baba levo anashinda kuliko Zito.
Hakuna mtu mbaya duniani kama mnafiki.Unafiki nimbaya sana hata mbele za Mwenyezi Mungu.
Ni bora CCM halisi kuliko CCM B...
JESHI NI HILI HILI .
UNADHANI KWA MFANO MWEZI WA KUMI PAKAITUSHWA MAANDAMANO MAKUBWA YAKWA YANAONGOZWA NA VIONGOZI WA DINI WANAOODHALILISHWA NA WAUMINI WAO KUPOTEZWA HUKU RASILIMALI ZA UMMA ZIKWA ZINAPORWA .Unategemea jeshi la wananchi wanaweza wakawapiga Maaskofu kwa sababu ya kulinda mafisadi...
Majizi yamashsuri majizi wenzaoo
Pesa za magaidi zinawasumbua sana hawa mashekhe.
Project ya ugaidi ni kubwa sana maana kule mashariki ya kati wanapigwa sana na wazayuni .
Sasa wanaamua kukimbilia Afrika mashariki .
Haya mambo humu duniani yapo kama maigizo fulani .
Msingi wa vita zote ni kati ya wema na ubaya.
Wema utashinda Ubaya .
Waarabu wakiwa wamoja ni hatari kwa uhai wa binasamu wa dini nyungine kuliko mabomu ya nyukilia .
R
Jeshi hua ndicho chombo kinachoinusuru nchi isiingie kwenye machafuko ya kisiasa ,kijamii na hata kiuchumi.
Vita vya kikabila ,kidini na kisiasa hua zinasababishwa na serikali kupitia vyombo vya dola.
Mafano : Kongo wakati wa mabutu Jeshi lilikua na nafasi nzuri ya kumtoa Mabutu na kunusuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.