Recent content by 100 IQ

  1. 100 IQ

    SoC02 Na Masters yangu, niliamua kwenda kulima Mboga mboga za kuuza baada ya ajira kuwa ngumu

    Hajapoteza muda. kumbuka aliingia kwenye kilimo baada ya kuona changamoto kwenye kupata ajira, baada ya kumaliza chuo.. So alivyo kuwa chuo, hiyo changamoto ya ajira, hakuipata, ndio maana hakuingia kwenye kilimo, akawa bado yupo shule.. Je, vipi angepata ajira aliyo kuwa ana dream , ...
  2. 100 IQ

    SoC02 Na Masters yangu, niliamua kwenda kulima Mboga mboga za kuuza baada ya ajira kuwa ngumu

    Sasa umemkosoa jamaa, ila na wewe umeshindwa kutuambia ungefanyaje ? ili tujifunze hapa, Low minded
  3. 100 IQ

    Mlinzi Suma JKT ajiua kwa kujipiga risasi shingoni

    Ndio maana, nimekuuliza, mshahara mkubwa ni sh. ngapi ? Kila unacho ongea lazima kiwe na Logic..
  4. 100 IQ

    Mlinzi Suma JKT ajiua kwa kujipiga risasi shingoni

    Dogo unafer wapi ? hujawahi kusikia, watu wanakufa kwa njaa? embu fwatilia mambo
  5. 100 IQ

    Mlinzi Suma JKT ajiua kwa kujipiga risasi shingoni

    Mshahara mdogo uki compare na kitu gani ? Mshahara mkubwa ni sh. ngapi ?
  6. 100 IQ

    Mlinzi Suma JKT ajiua kwa kujipiga risasi shingoni

    Shida zipo kwenye vyombo vyote vya ulinzi, vipi kuhusu police ?
  7. 100 IQ

    Mlinzi Suma JKT ajiua kwa kujipiga risasi shingoni

    jamaa ame comment, utopolo sana..
  8. 100 IQ

    Mlinzi Suma JKT ajiua kwa kujipiga risasi shingoni

    Umeshafanya uchunguzi , ? umegundua ni depression ?
  9. 100 IQ

    Mlinzi Suma JKT ajiua kwa kujipiga risasi shingoni

    Kwanini ifutwe ? Ujui kuna watu wanategemea hiyo kampuni ?
  10. 100 IQ

    Mwisho wa graphics designers huu hapa

    Wakuu, napenda kujifunza hii field, ila sijui nianzie wapi..
  11. 100 IQ

    Msaada, jinsi gani ya kutuma maombi, jeshi la zima moto?

    Wakuu habari.... . Kuuliza sio ujinga... Nataka ku apply hizi nafasi za ajira katika jeshi la zima moto. Ila sijaelewa, kwenye kipengele, cha jinsi ya kutuma haya maombi, ili yaweze kufika sehem husika, Naomba mnipe, uzoefu kwenye hichi kipengele
  12. 100 IQ

    KWELI Msumbiji: Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

    Ambush haina mwenyewe.. Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
  13. 100 IQ

    Tizama jinsi wananchi wa Wazo wanavyohangaika na maji mpaka huruma

    hii nchi ya kisenge, nina plan ya kuondoka kwenye hii nchi... Viongozi wapo kwa ajili ya kujaza matumbo yao, na ndugu zao, unafki mwingi, wananchi tunazugwa tu, na vimiradi vya michongo.. No human right, no democracy,
Back
Top Bottom