mbona siwaelewi? Aliyeripoti sms ya mwanzo alisema yanayojiri bungeni ni kuwa PM aliyesomwa kutoka bahasha ya rais ni Kasim Majaliwa, halafu wana jf nao wanaleta pm wao, inakuwaje sasa? Au kurasa hizi za jf ni za upotoshaji tu na si chanzo sahihi cha habari? Tusikurupuke jambo hili ni nyeti...
hata sisi hatujalipwa hadi sasa tunapoendelea kusimamia mtihani wa kidato cha pili 2015. semina nayo hakuna kitu tulichoambiwa zaidi ya kuambiwa tuwe na subira.
Umezaliwa jana wewe? hujawahi kuona kwa wenzako waliosomesha wapenzi wao kabla yako walivyoteseka? kama hukujifunza basi jifunze kwako! fikiri kabla ya kutenda ikibidi pata ushauri kwa wenzako. pole sana.
hakika umenikuna sana katika hili. ndoa nyingi zinasambaratika kwa kukosa haya. wanawake kwa mabinti hebu jifunzeni maana hata siku hizi kitchen part zimekuwa za viswahili vya pwani na misemo ya taarabu isiyojenga bali kubomoa ndoa zaidi.
hata kama lowasa angeenda ACT bado mngesema na kuchonga tu. Tunahitaji maendeleo na si chama chochote cha siasa, kwani vyama vimefanya nini tangu uhuru? je maendeleo tuliyonayo nafanana na umri wetu (>50) tangu uhuru? tutazame utendaji wa mtu bila kujali chama chake.
Wanawake hawana dogo wala asante kwa anachofanyiwa na mwanaume. akisha mvuna watoto au mali anakutema jenezani ili yeye aponde maisha peke yake. Afrika wanaume wengi wauawa na wake/hawala zao.
mdogo wangu ngono ipo sehemu yoyote uendako ila ni hapo ulipo tu! jamii inayokuzunguka hawatawaelewa kwa kitendo mnachokifanya. watawatenga na kukudharau hasa wewe. KUMBUKA: UTU ni zaidi ya NGONO. Endelea kumsaidia kijamii ili kukuza utu wako, Mungu atakubariki na utafurahia maisha na mwenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.