Recent content by 075656 tgt

  1. 0

    Tuliozaa nje ya ndoa tukutane hapa, tujadili changamoto tunazokutana nazo

    Mm ninao wanne , watatu ni halali kabisa ila wanne mama yake mwaka jana kaniambia tukapime DNA maana wakati anabeba mimba alichanganya wanaume namm nikiwemo kwenye ule mchanganyiko kwahiyo nina safar mwezi wa tatu tukapime
  2. 0

    Kanizidi umri lakini ana sifa hizi. Je, nijilipue nimuoe?

    Wewe oa weka ndani mpambane wote maisha menyewe ndo hayahaya, yaan unataka upambane mwenyewe jua lako mvua yako then uoe kamwanamke kaje kula tu mwishowe kanajaa tamaa kanakuua ili ukaachie mali, Mimi nimeoa 2022 nilikuwa sina kitu chochote, tukawa tunashinda shambani wote huko, tumelima sana...
  3. 0

    KERO Ajira zirudi TAMISEMI tu, huku AJIRA PORTAL ni kupotezeana muda tu

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  4. 0

    Ni muda gani inapaswa mwanaume akupeleke kwake baada ya kuanza naye mahusiano?

    Mwaka mmoja unatosha kupelelezana kila mmoja kumjua mwenzie ila mwanamke usije ukalogwa ukabeba mimba bila makubaliano yenu wawili,utajuta
  5. 0

    Neymar Jr kipaji cha soka kilichoshindwa kufikia malengo

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  6. 0

    Timu iliyoshika nafasi ya tatu Ligi Kuu msimu uliopita ndiyo imebaki kimataifa

    Swali kumradhi; simba ya msimu uliopita ilishika namba tatu nbc lakn iliishia robo final kunako caf champion, bingwa wa nbc naye vivyohivyo aliishia robo je mpaka hapo hujaona harufu ya kuhujumiwa?
  7. 0

    Hamna mkoa nimewahi kwama kwenye utafutaji kama Singida

    Ukweli mtupu, singida hapafai nilikaa kama wiki pale kutafuta kazi yoyote niliambulia sifuri, hata ile yakumwaga zege hupati bila kuwa mwenyej
  8. 0

    Nimelia kwa furaha baada ya kupata kazi ya Ualimu

    Wajuaji tyr wameshatimba [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  9. 0

    Wakuu ukamalia sio kazi, Kila siku nawaambia, acheni kubeti!

    Sema umepumzika tu, kubet huwezi acha kizembe ivo ,wew jitafute kwanza uzipate mbona utarudi tu chamani
  10. 0

    Nina miaka 24 anataka kunipa mimba kabla ya ndoa ili ajue kama nina kizazi

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  11. 0

    HAKUNA KITU KINACHOUMIZA KICHWA KWA SASA KAMA UKIKUMBUKA UMRI UNAKWENDA 😂

    Na walioko kwenye mfumo waserikali kilometres zimesoma washajikatia tamaa wanasubir pension [emoji17]
  12. 0

    Naomba Ushauri: Kuna binti nimezaa naye lakini sihitaji kuishi naye kama mke. Simuoni kama mwanamke wa ndoto yangu

    Kwamba baada ya kukojoa ndo akili ikamwijia akimbilie JF kuomba ushauri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] , aoe tu
  13. 0

    Mambo 10 kuhusu mkeo yazingatie

    Tafuta hela mengine ni mbwembwe tu.
Back
Top Bottom