Kipimo kizur na cha uhakika kujua umri wa mimba n tarehe zako. Kama hukumbuki ndo tunatumia ultrasound. Ultrasound inachofanya inakadiria umri wa mimba kwa kutumia dimensions za kiumbe, ambapo kwa mimba changa inakadiria karibia na usahihi ukilinganisha na mimba kubwa. Watu wengi wanachanganya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.