kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 367
- 679
Natumai hamjambo humu ndani.
Nilikuwa na Swali kidogo hapo. Kwa mwenye kufahamu hili msaada kidogo. Hivi kipimo cha Ultrasound kinaweza kukupa majibu sahihi ya Umri wa mtoto, kwa Mfano labda una muda gani wik ngap Au Miezi mingapi?
Je Ultrasound inasoma kuanzia Siku ya mwisho mwanamke kuziona siku zake Au toka siku ya mimba kutunga?
Nilikuwa na Swali kidogo hapo. Kwa mwenye kufahamu hili msaada kidogo. Hivi kipimo cha Ultrasound kinaweza kukupa majibu sahihi ya Umri wa mtoto, kwa Mfano labda una muda gani wik ngap Au Miezi mingapi?
Je Ultrasound inasoma kuanzia Siku ya mwisho mwanamke kuziona siku zake Au toka siku ya mimba kutunga?