Recent content by 0036 savage

  1. 0

    JamiiForums Tanzania SUMA JKT mtaua vibarua wa bandari ya Tanga kwa njaa

    Akuna chochote ndugu hii nchi katil sana bas tu
  2. 0

    JamiiForums Tanzania SUMA JKT mtaua vibarua wa bandari ya Tanga kwa njaa

    Leo ni wiki ya tatu sasa imeanza hakuna pesa wamelipa kibarua watu wanalalamika hakuna msaada wananyanyasa sana watu hawa SUMAJKT, lakini la kushangaza haya yote yanayoendelea nani ananufaika na hizi pesa za vibarua maana manyanyaso yamezidi tunaomba mtupazie sauti tunanyanyasika sana.
  3. 0

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Bandari amesema kuwa DP World bado hawajaanza kazi na hakuna mfanyakazi aliyevunjiwa mkataba wake

    Kuna hili la kuwa kutakuwa na watumishi watakaoamia DP WORLD na watakaobaki TPA. Je kama wafanyakazi wa TPA wote watagoma kwenda DP WORLD nini kitatokea kama DP WORLD akiajir watumishi wapya hawa waliobak TPA watakuwa watumishi hewa au watafanya kazi gani nyingine?
  4. 0

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna dhuluma inaendelea SUMA JKT, vibarua wanalipwa kwa mateso, wengine fedha za PSSSF zinafikishwa robo

    Sina uhakika kuna ujanja ujanja sana yan mambo hayaelewek kabisa yan atuelew kama kwel ni wanajeshi yan atuelew
  5. 0

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna dhuluma inaendelea SUMA JKT, vibarua wanalipwa kwa mateso, wengine fedha za PSSSF zinafikishwa robo

    Hicho ndo kilamtu anasema bora kuacha hii kazi maana akuna kazi ni wazimu
  6. 0

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna dhuluma inaendelea SUMA JKT, vibarua wanalipwa kwa mateso, wengine fedha za PSSSF zinafikishwa robo

    Kilasiku dharau leo pia wamesema wanatoa pesa tumetoka makwetu kwenda kuchukua pesa zetu tangu mchana alf saa kumi ndo wanasema akuna pesa kumamaeee yan
  7. 0

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna dhuluma inaendelea SUMA JKT, vibarua wanalipwa kwa mateso, wengine fedha za PSSSF zinafikishwa robo

    Itoshe kusema SUMAJKT ni kikundi tu sio kampuni..
  8. 0

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna dhuluma inaendelea SUMA JKT, vibarua wanalipwa kwa mateso, wengine fedha za PSSSF zinafikishwa robo

    Hii suma iliyopo bandari ya tanga ifanyiwe uchunguzi imejaa utapel,dhuruma na utensaji wa ovyo usioeleweka kwa mfano wanachelewesha malipo wanalipa pesa siku watakayo wao alf pesa za PSSSF azipelekwi inavyotakiwa yan kwa kifupi hali ni mbaya sana kwa wafanyakazi wa kutwa wa bandari ya tanga.
  9. 0

    JamiiForums Tanzania Kusuasua malipo kwa SUMA JKT bandari ya Tanga

    Bandari ni vibarua ndo watendaji akuna asiejua hilo ila awathaminiki kabisa
  10. 0

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna dhuluma inaendelea SUMA JKT, vibarua wanalipwa kwa mateso, wengine fedha za PSSSF zinafikishwa robo

    Ujaelewa yan PSSSF mshaara ni laki sio laki nne kwahyo unaingiziwa 20,000
  11. 0

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna dhuluma inaendelea SUMA JKT, vibarua wanalipwa kwa mateso, wengine fedha za PSSSF zinafikishwa robo

    Ujaelewa kule kwenye form ya PSSSF wanasema mshahara ni laki kwahyo wanakuingizia 20,000 na sio asilimia 20 ya laki nne unayolipwa
  12. 0

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna dhuluma inaendelea SUMA JKT, vibarua wanalipwa kwa mateso, wengine fedha za PSSSF zinafikishwa robo

    Swali gani hili mkataba na kuingiziana pesa tofauti na unayolipwa na kucheleweshewa pesa vinakujaje kwan inatakiwa asilimia ngap ndo ikatwe ili kupelekwa PSSSF ni 10%na mwajiri 10% sasa habar za mkataba sjui nini ndo vinasababisha mtu alipwe laki nne alf PSSSF wasema wanakulipa laki?
Back
Top Bottom