0036 savage
Senior Member
- Apr 30, 2019
- 190
- 237
Kuna kampuni inaitwa SUMA JKT ni wababaishaji sana.
Katika Bandari ya Tanga wanalipa vibarua kwa mateso, vibarua hawalipwi kwa wakati pesa zao.
Kingine pesa za PSSSF; mtu pesa alioingiza kwa mwezi ni 400,000 lakini ukienda kuangalia pesa yako utakuta kwa mwezi pesa nyingi uliolipwa ni 100,000 kitu ambacho sio sawa.
Sasa kitu najiuliza hivi, wanavyofanya wanakula pesa pekee yao au wanakula hizi pesa na bandari?
Kama hawali hizi pesa wao, nani anakula pesa zetu ambazo haziwakilishwi PSSSF?
Katika Bandari ya Tanga wanalipa vibarua kwa mateso, vibarua hawalipwi kwa wakati pesa zao.
Kingine pesa za PSSSF; mtu pesa alioingiza kwa mwezi ni 400,000 lakini ukienda kuangalia pesa yako utakuta kwa mwezi pesa nyingi uliolipwa ni 100,000 kitu ambacho sio sawa.
Sasa kitu najiuliza hivi, wanavyofanya wanakula pesa pekee yao au wanakula hizi pesa na bandari?
Kama hawali hizi pesa wao, nani anakula pesa zetu ambazo haziwakilishwi PSSSF?