karibuni HUDUMA YA KUHAMA, mtaa kwa mtaa na Dar kwenda mkoani.
Huduma zetu ni pamoja na;
[emoji117]kufunga na kufungua vitu tunapofika unapohamia
[emoji117]kupanga vitu mahala pake...
Piga 0746373222.....Je, unamiliki gari,pikipiki au bajaji(chombo cha moto)?
Je,unataka kukilinda na kukifatilia chombo chako popote kinapokwenda?
Je,Umechoka kupewa taarifa za uwongo na dereva...
Habari
Natafuta noah road tour ama field tour tu offer ilokuwepo ni 13m isiwe imechezewa rangi niko dar nipe gari unayoijua tufanye biashara
0659756647 CALLS/WHATSAPP
NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MADALE (Kontena)
Ipo Madale, kilomita 1 tu kutoka barabara kuu.
Imejengwa kwenye kiwanja chenye ukubwa wa sqm 500.
Nyumba ina vyumba vinne (4) –
1 ni master bedroom...
Habari wadau,
Tunapangisha nyumba ipo Maeneo ya mikocheni Plaza.
Mazingira yake:
Eneo Lina SQM 1,500. Ina ukuta umezungushwa.
Ni Nyumba ya Ghorofa moja.
Ina vyumba 5, sebule, jiko na DINNING...
Gari ipo Kigamboni Dar es Salaam. Ipo katika hali nzuri sana!
Make: TOYOTA ISIS
MWAKA: 2008
CC: 1798
SEATS: 7
DRIVE: AUTOMATIC, 2WD
Kama kutahitajika service basi zitakuwa ni spares ndogongogo za...
Habari wadau wote wa usafiri. Natafuta engine kwa ajili ya kufufua pikipiki yangu. Sinoray 150 au 180 naielewa zaidi. Isiwe timing chain. Tafadhali tuwasiliane 0754004189
#houseforsale
Nyumba ya Ghorofa inauzwa 📍IPO Mbezi Beach - Kilongawima
Location Nyumba inagusa lami ya Mbezi Beach ya chini kwa Mwamunyange
Nyumba ya Ghorofa Ina vyumba v6 vya kulala, v4 master...
We are looking for Joint Venture plots.
Plots location: Masaki or Oysterbay, Dar es Salaam.
Plots Size: SQM 800 - SQM 4000+.
Plot should have Title Deed.
For further details, Kindly contact us...
🔥🔥🔥🔥OFFER OFFER OFFER🔥🔥🔥🔥
NOKIA 106 New
Jumla:Tsh18,000kuanzia pc10
Rejareja:Tsh24,000/=
Brand: new
Batter: 1000mAh
Laini mbili
NOKIA 105(2023)...
Habari ndugu zangu,
Leo nimekuja hapa mapema hii nikiwa na shida ya hii mashine ya kutengeneza juice ya miwa, nahitaji kutoka kwa mtu atakayeweza kunikodisha na sio kununua. Awe Dar es salaam na...
Habari wana JF,
Kama kichwa cha tangazo kinavyosema, nahitaji mashine ya juisi ya miwa kwa mwenye nayo aje tuongee.
Vigezo
Iwe inafanya kazi vizuri, usijaribu kutaka kuniuzia mashine mbovu...
Njoo Tukusaidie Kujaza Form ya Kuomba VISA na Passport
Wasiliana nasi kupitia WhatsApp: 0612607426. Kazi zote zitafanyika remotely.
Huduma za ujenzi Vituo vya Mafuta
Kwa wale wanaotegemea...
Plot Available For Sale.
Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road.
Descriptions:
*12km from main road (Kibada rd), 2km inside from Mwasonga road.
*It's near to box factory and Dar es Salaam...
Nyumba nzuri ya kisasa Ipo nyumba ya ubungo plaza ubungo mtaa wa Lego NHC
Ipo ndani ya geti na nafasi kubwa ya parking
Nyuma na mbele
Ina vyumba Viwili kimoja master bedroom
Sebule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.