Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

-Used for 2 month. -Haina tatizo lolote la kiufundi utaruhusiwa kutest. -Utapewa contact na kila kitu ikikuharibikia unarudisha,hatukuuzii kijanja barabarani,simu ipo dukani. Na kuna Samsung S10...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nasaga soya mbegu kuwa soya mafuta bei maelewano.Kama unahitaji kusagiwa lakini kama unahitaji iliyotayali inapatikana bei kilo 1 @1,500/=tu.locatio (mbagala chamazi) karibuni. kwa mawasiliano...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari? Kwa wale wapenzi wa kusoma riwaya mbalimbali za marehemu Mtobwa, tunapenda kuwajulisha kuwa vitabu hivyo vinapatikana Arusha na Dar es salaam. Vitabu hivyo ni kama ifuatavyo; Malaika wa...
4 Reactions
29 Replies
6K Views
Samsung galaxy note 4 inauzwa clean condition haina tatizo lolote nipo DSM 0675990776
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Lina futi 5×5.ni jipya kabis halijawahi tumika.lina wiring ya umeme tayari. Nicheki 0714906767 kwa maelezo zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Infared thermometers kwa wenye maduka,malls,mashule,viwandani,majumbani nk kupima mtu joto la mwili bila kumkaribia zinapatikana kwa bei ya shilingi laki 3 tu. Sanitizer 100ml bei elfu 10 500ml...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Naomba kujuzwa bei ya 1.RAM DDR3L kuanzia GB 4 kwenda juu 2.CORE i3,i5, na i7 Ahsanteni.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu WanaJamii wenzangu, Mimi naitwa Hamza naishi Zanzibar. Shinda yangu kubwa ni kujua vifungashio vya mtindi vinapatikana wapi. Naomba anifahamishe s Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Nauza CPU yangu ya HP, HHD 250, RAM 2, Ina tatizo la Power Supply, Bei ni 130,000/=. 0786737923, Nipo Bagamoyo. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
667 Views
Kama nilivyoeleza hapo macho yangu yanauma ninapokuwa nafanya kazi zangu ambazo zinanilazimu kuwa kwenye PC kwa muda mwingi sasa nahitaji kujua kwa hapa Bukoba wapi naweza ipata Sent using Jamii...
0 Reactions
0 Replies
757 Views
Habari wakuu, Tunabadili matumizi ya ofisi na kuuza vifaa vya ofisi vifuatavyo 1. Meza mbili za plastic - zote 140,000 (@ 70,000) 2.Viti 3 vya plastic -vyote -30,000 3.laptop ya hp - 300,000...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari JF! Nataka kufanya finish kwny nyumba yangu kutokana na hali ya hewa iivyo ss nimeona bora niweke PVc gutter hivyo nahitaji kujua vifaa vinavyohitajika na gharama yake kwa bati yenye urefu...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Tunauza asali mbichi [emoji979]Tumia asali mbichi kila siku kwa afya njema [emoji979]Asalimbichi ya nyuki wadogo na wakubwa kutoka tabora na katavi [emoji3591]lita moja 12,000 [emoji3591]nusu...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza Samsung s8 kwa bei ya kutupwa. Wakuu habari Kutokana na janga hili la COVID-19 ambalo limeniathiri kwa 100%. Naiweka sokoni simu hii ambayo nimeinunua mwezi December mwaka jana mpya...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Ipo Ndofe, Igoma.. - Ina vyumba vitatu kimoja ni master - Sebule& dinning room - Jiko - Public toilet ya ndani Nyumba ni mpya. Kiwanja kimeshipimwa ambapo ukubwa wa eneo ni 25*35 mita. Maji yapo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Raw Shea Butter, African Black Soap, Cocoa butter, Mango butter etc ( jumla na rejareja) karibuni. WhatsApp 0752555223
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina uhitaji wa haraka sana wa pesa, ninauza TV yangu... LG, Full HD nimeitumia kwa mwaka mmoja lakini ipo katika hali nzuri. Ipo hapa Sinza A, karibu na Mlimani City! Tuwasiliane kwa...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Ipo Buhongwa mita 150 kutoka barabara kuu ya lami. Ina Nyumba 3(master brdroom mmoja) Sebule & siiting room Jiko & store Store ya nje Maji & umeme vyote vipo Nyumba tiyari ina hati na ukubwa wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za muda huu wakuu.. Nmekuja kwenu kuomba msaada wa kuelekezwa wapi Sufi znapatikana na gharama zikoje Nina plan kuanza project ya kutengeneza mito. Karibuni kwa Mawazo mbarikiwe.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Baadhi ya huduma zetu ni darasa lakufuatwa na kufundishiwa ulipo, mafunzo ya mtu mmoja mmoja kwenye gari na mwalimu wake, mafunzo ya jumamosi na jumapili kwa wasio na mda siku za kazi Tupo wazi...
1 Reactions
15 Replies
46K Views
Back
Top Bottom