Nahitaji mahindi
Uzito wa moisture usiozidi 13
Ya zamani ya unga sembe tan hata 100
Bei iwe 680 Hadi 700.
Napatikana Dar es Salaam kwa mawasiliano zaidi 0684558213
UTANGULIZI
Practical Idealist ni Account maalumu ya mitandao ya kijamii iliyoanzishwa na watu wenye taaluma na uzoefu mbalimbali katika tasnia ya ujenzi mnamo mwezi May, 2020 katika Jiji la Dar es...
Umofia kwenu!!
Kuna muda unamaliza ujenzi na materials yanabaki, unatafuta wa kukurudishia gharama kdogo wakati ambapo kuna mdau anahitaji materials hayo hayo ulobakisha akamilishe jengo lake...
Kama bandiko linavyojieleza kwa wale wanaohitaji mifupa (unga wa mifupa) kwa ajili ya kutengeneza vyakula vya mifugo ninapokea order sasa karibuni. Bei ni nzuri.
nipo dar es salaam.
Mawasiliano...
SALAMU WAKUU
Nauza nyumba yangu, ambayo bado sijaezeka, ina vyumba viwili (Kimoja ni master), pamoja na sebule,
Saizi ya kiwanja ni 20M kwa 20M, Nyumba iko Ituha-Mbeya, karibu kabisa na shule ya...
Wakuu natafuta kinanda cha biashara used cha Tigo Pesa na kuweka baadhi ya biashara zingine, kiwe cha chuma kama hivi ambavyo wanatumia watu wa Tigo Pesa.
Kibanda kiwe used, maana bajeti yangu ni...
Tunauza tv aina zote smart na kawaida zote flat screen na pia tunauza spea za tv aina zote na tunafanya matengenezo ya tv.
Tupo Machinga Complex ghorofa ya 4 jengo la kwanza kutokea Kariakoo Lindi...
AGIZA NASI GARI TOKA JAPAN KWA GHARAMA NAFUU KABISA*
Toyota Belta
Year : 2007
Drive : 2wd
Trans : Auto
Fuel : Petrol
Engine capacity : 1290cc
Seat : 5
Grade : G
[emoji625] Features [emoji625] ...
Nina uhitaji wa laptop. Najua madenti wa chuo mpo juu ya mawe. Hebu njoo na offer zenu tufanye biashara.
Please give brand and features of your laptop.
Karibuni wote
Nauza vitenge sh 27000 tu pande tatu kwa kitenge kimoja napatikana Dodoma Nkuhungu karibuni ni kutokea Congo na Nigeria
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwanja kinauzwa kipo Mkurumuzi Tanga
Urefu 27m
Upana 22m
Malipo kwa awamu yanapokelewa kwa makubaliano maalum
kiwanja bado hakina hati lakini kwa sasa kuna zoezi la urasimishaji viwanha ili...
* Nyumba ipo nyuma ya sheli ya Lusana dakika 3 kufika hapo
* Vyumba Vitatu, kimoja kina choo ndani(MASTER)
* Sebule
* Jiko
*Tiles, slide window)
Umeme upo
Maji kuchota kisimani (Kisima kipo 30...
Je wahitaji mkopo kwa ajili ya shule yako
kama;
-Kuboresha majengo
-Vifaa kama dawati
-Usafiri
-mafunzo ya walimu n.k
......Njoo ketu Opportunity Tanzania Ltd kwa aliye Iringa na upate mkopo...