Nahitaji mahindi ya zamani, nipo Dar es Salaam

Nahitaji mahindi ya zamani, nipo Dar es Salaam

mr_penguin

Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
31
Reaction score
23
Nahitaji mahindi
Uzito wa moisture usiozidi 13
Ya zamani ya unga sembe tan hata 100
Bei iwe 680 Hadi 700.

Napatikana Dar es Salaam kwa mawasiliano zaidi 0684558213
 
mr_penguin The Humble Dreamer naomba mnieleweshe kuhusu hiyo moisture mana kwangu huu nimsamiati mpya nandio nimekuta nao leo
Nazungumzia kiwango cha ubichi kilichopo kweny mahindi.
Kuna kipimo cha kupimia, hivyo huwekwa kias kidg cha mahindi kisha majibu yanapatikana.

Hivyo; scale ikisoma kubwa ina mana mahindi ni mabichi na huitaji kuanikwa. Mfn, mahindi yakisoma moisture ya 12 na mengine yakisoma ya 15, basi yenye 15 yana kiwango kikubwa cha ubichi, hayajakauka vizuri hivyo lazima uanike juani au uyapitishe kwenye mtambo maalumu ili yakauke na yafikie kiwango kinachohitajika.

Kiwango cha moisture hutumika kama kigezo cha kununua mahindi na kupanga bei..yenye moisture ndogo hua na bei nzuri kulinganisha na yenye moisture kubwa.
 
Nazungumzia kiwango cha ubichi kilichopo kweny mahindi.
Kuna kipimo cha kupimia, hivyo huwekwa kias kidg cha mahindi kisha majibu yanapatikana.

Hivyo; scale ikisoma kubwa ina mana mahindi ni mabichi na huitaji kuanikwa. Mfn, mahindi yakisoma moisture ya 12 na mengine yakisoma ya 15, basi yenye 15 yana kiwango kikubwa cha ubichi, hayajakauka vizuri hivyo lazima uanike juani au uyapitishe kwenye mtambo maalumu ili yakauke na yafikie kiwango kinachohitajika.

Kiwango cha moisture hutumika kama kigezo cha kununua mahindi na kupanga bei..yenye moisture ndogo hua na bei nzuri kulinganisha na yenye moisture kubwa.
AHSANTE SANA MKUU HAKIKA SIKULIKUA HILO KABLA
 
Nadhani njia mojawapo ya kufanya moisture ya mahindi iwe ndogo ni kuchelewa kuyavuna shambani.

Wataalam,je moisture ya chini inayofaa kibiashara ni ngapi??

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni mojawapo ila pia unaweza vuna na ukaanika juani yakakuka vizuri, sema ni garama.

Wengine wanawahi kuvuna na kama wana mitambo ya kukaushia mazao wanaeza pitiaha humo yakakuka.
Sema hasara ya hii ni mahindi kupungua uzito sana kuliko kawaida.

Kuhusu moisture, inategemea na mnunuzi wa mahind yako. Kuna mwingine anaweka limit ya moisture ya 12.9 kushuka chini. Mwingine anataka 13.5 kushuka chini.
Saa ingn na bei inakua tofauti kulingana na kiwango cha moisture sawasaw na range iliyowekwa
 
Back
Top Bottom