Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

New lamination mashine inauzwa inahitajika hela fasta tuokoe Maisha ya mgonjwa Price 80 Location Mbeya PM FOR MORE INFO
0 Reactions
0 Replies
748 Views
Kumekuwa na changamoto kubwa mbili kwa watu wanaogiza vitu kwenye mitandao hii nguli ya Kichina Bei ya mali kuwa rahis lakini usafiri kuwa bei kubwa. Wengine njia za kufanya malipo kushindwa hasa...
10 Reactions
59 Replies
9K Views
WANA JF, no eneo zuri kwa makazi liko juu hakuna hofu ya mafuriko karibu na kituo cha magari yaendayo mjini kiujumla ni mahali salama kwa makazi being 100,000 kwa mwezi mawasiliano 0699 522471...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta vifaa vya watoto vya kuchezea mazingira ya nnje kama shule ni. Mfano bembea, mterezo, baiskeli za chuma zilizounganishwa na chuma mithili ya bembea n.k. Utumapo bei ambatanisha na picha...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
KAMPUNI ya simu za mkononi ya itel imezindua kampeni ya promosheni ya ‘Nogesha Valentine na itel’ jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari hivi punde jijini Dar es Salaam meneja...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama Kichwa cha habari kinavyo Jieleza natafuta Mtu au Supplier anaeuza Matofali ya kuhimili Moto Mkali (FIRE BRICKS) ARUSHA na DAR. HUDUMA INAHITAJIKA HARAKA MNO
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Niaje wakuu nahitaji kukusanya stock ya kutosha ya mahindi ya njano pamoja na maharage. Hivyo naomba kujua namna naweza kupata, nipo Arusha hapa.. Asanteni.
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Habari za leo wanaJF, Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Tabata ama Mabibo/ au Segerea. Chumba kimoja tu. Kikubwa ni mazingira yawe rafiki kwa mtu kuishi. Umeme uwe wa kujitegemea hata kwa...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu msaada.. Kwanza Habarini za uchovu wa majukumu.. Ninauliza Kwa anaefahamu bei za jumla ya yebo yebo pale kariakoo bei gani.. (za age Zote) Na maduka yake yanapatikana maeneo gani... Msaada...
1 Reactions
35 Replies
28K Views
Hi za wakati wapendwa,Poleni kwa majukumu na miangaiko ya hapa na pale. Nipo mwanza ninajihusisha na biashara ya ; 1.Perfume za kupima kwa ujazo tofauti tofauti kwa bei ya jumla na reja reja, Za...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa wale wenzangu namimi kuna kiramani hapa kipo jikoni, kinaendelea kutengenezwa taratibu.
1 Reactions
4 Replies
688 Views
Kama unatoa huduma ya Airbnb Dodoma naomba uni PM nahitaji mtu nimcontact directly
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jipatie magodoro Original ya Spring kutoka kiwanda cha QFL magodoro Dodoma, kwa wateja wetu wa Dar es salaam tunakuletea hadi kwako buree kabisa na malipo yote yanafanyika nyumbani kwako...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari wana jukwaa, Naomba msaada kwa anayejua site za kweli na uhakika unazoweza kuagiza vitu used (electronics) za usa,uk na dubai. Asanteni kwa muda wenu, naomba saana msaada huu
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Ni imara na zinapendezesha nyumba Wateja wa Dar unaletewa buree (free delivery) Kufungiwa pia ni buree( free fixing) Zipo rangi mbalimbali Mikoani tunatuma kwa bei nafuu Malipo mpaka upate mzigo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kufanya biashara bila kusajiriwa ni kosa kubwa kisheria, Fininnovation Limited itakusaidia kukuhakishia inakusaidia ili uweze kupata kampuni au jina la biashara muda mfupi. Mchakato mzima...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Karibu nikutengenezee MATANGAZO ya sauti na motion graphics kwaajili ya Tv(tvc), Radio station, pia social media...(instagram, fb)etc, kwa wale wenye Biashara mbalimbali(HOTELS, MADUKA, PUB...
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Sasa wale walio kuwa wana boreka na Spread za templer, hatimaie Tickmil ambaye ni ECN broker mwenye Zero spread anatuletea huduma ya kuweke pesa na kutoa kama Templer yaan kwa simu. Ukitaka...
3 Reactions
8 Replies
4K Views
Kuna mtoto wa mtu amejaa, anataka nimvishe pete, nimeona isiwe tabu ngoja nikate kiu yake. Naomba kujua maduka yanayouza pete original za madini kama almasi, dhahabu, shaba ama tanzanite kwa hapa...
4 Reactions
43 Replies
7K Views
HOUSE FOR SALE LOCATION TEGETA MASAIT NYUMBA KALI YA KIBABE INA VYUMBA V3 MASTER BEDROOM ZOTE SEBULE KUBWA JIKO LENYE MAKABAT NYUMBA NIMPYA UWANJA UNA QM 1200 PANA HAT SAFI BEI MILLION 350...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…