Tunauza machine mpya kabisa kwa za hard ice cream au maarufu gelato.
Voltage: 110V/220V 50/60hz
Power: 1.6KW
Size: 525 x 490 x 640mm
Weight: 65kg
Cylinder : 5L
Cylinder Size: 22 x 10.5cm...
Mashine ya kisasa kwa ajili ya kutengenezea juice ya miwa
Inachuja yenyewe
Inaweza kusaga
kabisa,ya kisasa kwa ajili ya kutengenezea juice ya miwa
Inachuja yenyewe
Inaweza kusaga mpaka miwa...
Miliki kiwanja kizuri chenye hati
Na kwa gharama nafuu
Barabara zimechongwa
Maji na umeme vinapatikana
Vipo katika mikoa ifuatayo:
Dar(vipo kigamboni maeneo tofauti tofauti.
Arusha(murieti...
Heshima kwenu wadau..
Nauza T-Shirt heat press, heavy duty, nzuri kabisa for transfers image and logo on T-Shirts, namba na majina kwenye jezi za michezo.. kuprint leso, vitambaa etc
Mpya kabisa...
Ninaweza kupata mawasiliano ya mafundi wa finishing ya nyumba Kama ifuatavyo :-
1. Gypsum designer
2. Paint designer/skimming
3. Tiles
4. Garden designer
5. House decorater
Ahsante.
Do you wish to be competent organizational fundraiser?
or
Do you inspire to be the best on project proposal writing?
or
Would you like to be a good project manager with competent knowledge...
Husika na kichwa habari hapo juu line za uwakala zinahitajika, line zinazohitajika ni Tigopesa, Airtel money na M pesa dau ni laki kwa Tigo laki kwa mpesa Na 70 kwa Airtel money
Hellow, r u fine?
Tafaadhali Nicheck ukihitaji huduma ya muundo wa picture (Graphic Design)
Karibu kwa
-Visual identity
Logo, Business Card, ID
(Nembo, Utambulisho wa biashara, Kitambulisho)...
Nahitaji gari ndogo Aina ya IST, raumu, spacio ,Ractis ,funcargo na gari nyingne isiyozidi cc 1290 Kwa maelewano ya kuleta hesabu ya 150000/week bila kuchelewa. Nipo Dar es salaam wilaya ya Ubungo...
Wakuu,
Nipo Dar es Salaam, kwa anayeuza au kujua wauzaji wa laptops used au refurbished. Nahitaji mzigo mmoja wa laptop aina ya HP kuanzia Core i3 generation ya 5
🙏🙏
JIFUNZE HAPA: Jinsi Ya Kuzivuta Fursa Na Kuzitumia Ndani Ya Muda Mfupi.
Unakwama Wapi Mpaka Sasa Hujui Jinsi Ya Kuzivuta Fursa?
Huzioni fursa lakini wenzako wanaziona na kuzitumia je, unajua...
Habari za muda huu wakuu, anayeuza moja ya magari yafuatayo. Run x, Spacio, Rav 4, Ist haijalishi number ya gari as long as ni zima. Tukutane PM.
Napendelea awe mmliki na sio dalali.
Asanteni
Karibuni wenye watoto, wadogo zenu, ndg, jamaa na marafiki wanaosoma masomo ya sayansi kidato cha 1-4 Physics na Chemistry. Materials haya ni maandalizi mujarabu kabisa kwa ajili ya ufaulu mzuri...
Habari wakuu
Nauza kiwanja ambacho kipo Kimbiji Kigamboni
Kina ukubwa wa SQM 520
Kiwanja kina hati tayari toka ardhi
Umbali toka feri ni 35 Km
Kiwanja cha corner
Umeme na maji tayari
Mimi mmiliki...
Kwa Anayehitaji App Nzuri kwa Ajili ya Kutunza Kumbukumbu za Mauzo ya Biashara.
Inauzwa 20,000/= tu.
Anicheck WhatsApp 0764181161
Nitamtumia Link ya Play Store, Pamoja na Video za Namna...