MSI gaming machine
Core i7 - 7th gen
RAM 16gb
HDD 1tb
SSD 256gb
Nvidia Gtx 1060(6GB Dedicated)
Used
[emoji338]0784545494
Bei 2,850,000
Tupo Karibu na Mlimani City Mall Njia ya kwenda...
Ps3 games & ps4 games installation
Pata games kali za ps3 kwa bei chee sana
Elf 5 tu
Game zote tunazo,farcry,call of duty,fifa,pes,uncharted,gta v,mortal kombat
Pia tunachip ps3 kwa elf 10000...
Kulingana na taarifa ya Mamlaka ya bima nchini (TIRA) Watoa Huduma walielekezwa kuanzia Tarehe 01.04.2021 Kutumia Stika za kielektroniki badala ya stika za kawaida zilizokuwa zikitumika awali...
Soko la mayai ya kienyeji linahitajika haraka. Bei ya jumla kuanzia Tray 10 Chini ya hapo utauziwa leja leja. Mzigo unapitaka mara moja kwa week kama upo serious njoo pm tuongee. Mzigo wa kutosha.
Mbao kutoka shambani, zinepandwa 1.1.2000 zinauzwa kuanzia shs 70,000 ziko mbao 103 size mbalimbali 9x2, na 7x2 . 0765004347 au 0622303759
Zinapatikana Mvule 103
Kiwanja Kinauzwa
Ukubwa: 800 Sqm
Eneo: MbeziBeach
Mahali: Mita 400 Kutoka barabara ya bagamoyo.
Bei: Tshs Milioni 80
Document zote zipo
Contact Us: 0716442950
Nyumba ya Vyumba viwili, Chumba kimoja ni masta pamoja na sebule, jiko na choo cha wageni.
Mahali: Sinza
Bei: tshs 400,000 Kwa Mwezi
Eneo lina uzio na geti, Usalama wa kutoshsa, maegesho ya gari...
Salaam waheshimiwa, nahitaji vyombo vya ndani ( geto ).
Nahitaji kitanda, godoro, mtungi wa gesi, kikabati cha kizushi ( kibaharia) na vikoro koro vingine vya geto. Vitu ninavyotaka ni vya kijana...
Jamani nipo Dar, nauliza mwenye kujua sehemu ambapo ninaweza kupata spares za simu aina ya TEENO R5(smartphone), nimezunguka Kariakoo sehemu kubwa sijapata. Natanguliza shukurani za dhati.
Pata HOMEBASE SMART TV, inch 32, kwa laki 330 tu,
-New model
-Double screen(protector)
- Warranty mwaka mmoja.
-Free delivery kwa mbeya.
Location Mbeya town.
Zipo nyingi
Call 0768-540772
Ndugu wana JamiiForums
Nimeandika kitabu cha English na kimesha fanyiwa Editing na wataalamu wa Harvard University na Manhantan University .. ambao no Phd na Wasomi wa Linguistics. Kwa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.