Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau fursa hii tushikirikiane. Kama una shamba na lipo eneo kidogo eneo zuri basi tunapima viwanja na kusimamia uuzaji wote kwa gharama zetu kwa mkataba maalum baina yetu Wewe uwe na shamba...
0 Reactions
2 Replies
685 Views
Nimepata dharura nauza tv 55" samsung smart 1.2mil, radio sony soundbar 1000w 1mil na meza ya chakula viti sita laki 6 atakaechukua tv na redio nitamfanyia 2mil.. vyote bado ni vipya Vipo mwanza...
5 Reactions
44 Replies
5K Views
Kwa wapenzi wote wa riwaya za gwiji, mwenyewe Ben Mtobwa, sasa tunakuletea kitabu chake cha LAZIMA UFE JORAM na NYUMA YA MAPAZIA. Pia katika mlolongo wa vitabu hivyo, utaweza kujipatia nakala...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau habari zenu, Nina hitaki sofa classic za ngozi ziwe zinauwezo wa kubinuka mfano pale unapotaka kulala unaikunjua kama siti ya gari una lala na baadae unairudishia kama ilivyokua ...kama...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Tupatie maelezo zaidi kuhusu bei,kodi,usafiri tafadhari
1 Reactions
84 Replies
30K Views
Ndugu wana JF Kwa wale wote wanaohitaji kutengenezewa system or Applications mbali mbali kwa ajili ya shughuli binafsi, Business ama projects nipo kwa shughuli hizo. Wenye mahitaji hayo wanaweza...
0 Reactions
1 Replies
750 Views
Mahali: Mbezi Beach Makonde, Kodi ya Mwezi: Tshs 120,000 Malipo ya Miezi: 3 au 6 Ipo karibu sana na kituo cha daladala, dakika moja upo kituoni. Maji ya bomba/dawasa masaa 24, Uzio na geti...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Infinix Hot 8 Lite Model: infinix X650 XOS version : XOS v4.1.0(O-P86-190731) Android version 8.1.0 Android security patch level : August 5, 2020 Device info CPU Core Count 4 CPU Frequency...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaam Sana wakuu, Naomba kujuzwa ni utaratibu gani serekali inatoa kugawa hizi chanjo na mifugo? Nina ngombe nahitaji wachomwe chanjo za ECF (East Africa fever). Nimeshaulizia madaktari kadhaa...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa anae uza mashine ya kutengenezea pipi au anae jua wapi nitapata mashine ya kutengenezea pipi. Funguka please. With much thanks in advance
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Solved
0 Reactions
7 Replies
794 Views
Habarini za Mchana wana Board. Watu wengi hupata hasara wakati wa kununua magari kwa watu wengine (used vehicles), kwa sababu huwa hawana taarifa ya kutosha kutoka kwa amma wataalamu au jamaa wa...
0 Reactions
1 Replies
975 Views
Fridge langu mlango wake haubani vizuri. Yaani ukifunga kunabaki upenyo unaosababisha baridi kutoka nje. Najua Kuna zile lock Kama za milango ya nyumba lakini kwangu naona kama ni za kizamani Sana...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Corner plot with unfinished house located in a good neighborhood of Mbezi Beach Makonde, few metres from bagamoyo road. Plot is surveyed and It is ideal for residential purpose. Mahali...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Njoo uchukue kwa bei poa imetumika miezi 7 tu charge inakaa 3 hours nakupa na begi kqbisa bei ni 350000 haina chenga wala nini 0758844240
2 Reactions
3 Replies
755 Views
Vvyerehani vianauzwa vipo vinne kila moja LAKI MBILI NA ELFU THEMANINI 280,000/= TUPIGIE +255 626123488 +255 692160298
1 Reactions
4 Replies
764 Views
*HABARI NJEMA KUHUSU VIWANJA VYA KIMBIJI VILIVYOPIMWA NA KUUZWA KWA MILION 1.5* Baada ya mwitikio mkubwa kuliko idadi ya viwanja vilivyokuwa vinauzwa kigamboni kimbiji mtaa wa golani nyuma ya...
0 Reactions
70 Replies
15K Views
Namshukru Mungu nimekabidhi kazi ya Jengo hili kwa Mteja wngu Ni Wilaya ya Bagamoyo Tulianza Msingi mpaka hatua hii Hakika Uaminifu ni Mtaji Jengo lina vyumba vinne Master moja Self mbili Ukubwa...
15 Reactions
141 Replies
14K Views
Unahitaji mashine zilizo bora nakushauri jipatie mashine kutoka kampuni la strongtech bei yake million moja na laki mbili na nusu tu (1250000) Sifa kuu inakamua na kuchuja yenyewe na kuicha juisi...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wadau na wanajukwaa kwa ujumla. Nitakua naleta gari ninazotumiwa na maboss wanaouza gari zao kutoka sehemu tofauti tofauti. Ungana nami sasa. TOYOTA VITZ clavia Cc 1290 Engine vvti Price...
5 Reactions
49 Replies
15K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…