Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahitaji Kiwanja Arusha maeneo ya Kiserian, Moshono na Chekereni isiwe porini ukubwa uwe 10x15 au 15x15 bajeti yangu kwa kila kiwanja ni sh mil 2 kushuka chini. Kama unamfahamu aliye nacho njoo...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Wakuu, ninafuga paka na sasa nimefikisha paka 765. Wana umri wa miezi 6 mpaka 8. Unaweza kumtuma popote pale na akakufanikishia kazi yako bila shida. Nauza 20,000 kwa paka mmoja. Ukichukua zaidi...
5 Reactions
25 Replies
3K Views
Dulaiki Group, kupitia kitengo chetu Cha ujenzi. Ni wataalamu wa ujenzi wa majengo tulio na ujuzi na ubora wa Hali ya juu. Sisi;- ✓Ni wataalamu wa Uchoraji wa ramani za majengo, ✓Ni wataalamu...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Nyumba pamoja na kiwanja vnauzwa Kimara Baruti. Ukubwa wake ni 35 kwa 30. Bei yake ni 50m maongezi pia yapo. Kwa mawasiliano zaidi piga 0687968594/0714140094
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari mwenye gari tajwa hapo naomba anichek 0678265683. Sitaki Dalali maana wamekuwa na ubabaishaji unaenda kukuagua gari Kigambon mara gari haipo ipo Sinza mara gari ipo Mwenge. So kama ni...
2 Reactions
4 Replies
799 Views
Habari ndugu, jamaa na marafiki.. Naitwa Enock, napatikana Mbezi ya Kimara, Dar Es Salaam, Tanzania.. Mimi ni fundi wakutengeneza na kukarabati sofa pamoja na samani nyinginezo za majumbani kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza Mchele Mzuri umenyooka na mtamu haswa, Wale wanaoujua wakyela wenyewe mtanielewa. Bei ni 1,700/= kwa kg 1. Tunakufikishia hadi mlangoni pako kwa walio nje ya mji tu ndo wanachangia usafiri...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Habarini wapendwa, Naomba ushahuri kuusiana na biashara ya samaki wa kukaanga kwa anaefaham anipe ushauri naitaji kuianza hii biashara nimepata meza maeneo fulani hivi Sasa nilikua nataka niweke...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini wakuu! Naleta kwenu habari njema kabisa, kuna kiwanja/viwanja vinauzwa maeneo ya Nyasaka-Mwanza karibu na TABASAMU ENGLISH MEDIUM au ISTQAAMA ISLAMIC SCHOOL. Kiwanja ni kikubwa sana kina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya maelfu ya watumiaji kuhama mtandao wao sasa VODACOM wameachia vifurushi baada ya kubana kwa karibia mwezi mzima. Tutarajie Halotel na Airtel kujibu mapigo kwa kushusha hadi wateja wapate...
11 Reactions
81 Replies
7K Views
TUNAUZA MAGODORO POPOTE YANAKUFIKIA BURE KABISA TUPIGIE 0755809062 DAR MAGODORO CHAPA GSM Inchi 8 5*6 unalipata kwa 185000 tu Inchi 6 5*6 unalipata kwa 150000 na usafiri bure Inchi 8 6*6...
4 Reactions
28 Replies
6K Views
Ubepari_pc tunajihusisha na uuzahi wa pc na vifaa vyake kwa bei nafua ,tuna bidhaa mpya ,refurb na used za pc tunapatikana upanga -muhimbili pia tunafanya delivery mikoani request pc yoyite nasi...
0 Reactions
3 Replies
892 Views
Karibuni Sana Chawging investment Kwa huduma za fumigation. Tunapuliza dawa za viuatilifu kutokomeza wadudu hatarishi warukao na watambaao Kama mbu, mende, mijusi, mchwa, kunguni, viroboto...
0 Reactions
0 Replies
990 Views
Kuelekea pasaka Pata mchele safi kutoka mbeya wenye viwango vya Ubora, Weka order yako sasa tukufanyie delivery Mchele safi kuanzia 1500 mpaka 2000 kwa kilo Piga 0715169679
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Sim bado mpya Haina mchubuko wowote Battery healthy 91% 128gb Price 800,000/= cach Location DSM Contact 0625825641
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Maelezo Zaidi: 0716442950
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana JF, Naitwa SAM. Nafundisha Computer Applications ( Computer Basics,Maintanance,Excel,Word,Power point,Publisher,Internet & Emails) & Computer Maintanance(Repair, Windows Installation...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Wasalamu. Nipo mkoa jilani na Dar huku kuna fursa ya upatikanaji wa maziwa kwa wingi. Nahitaji mtu mwaminifu ambaye naweza fanya naye kazi walau aweze kuchukua litre 200 kwa kuanzia per day.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom