Hisense a/c mpya inauzwa

ubwindo

Member
Jul 23, 2017
43
29
BTU 18,000 (Inverter)
H/P 1.5
Bei 1.2M
Call: 0713 173853
Location: Dar es Salaam

N.B. Maongezi yapo.
20210723_085053.jpg
20210723_084724.jpg
 
ivi mkuu sorry iyo btu 18000 inakava chumba cha futi ngapi kwa ngapi maaana naona bei kama ipo chini mno na mashine kubwa.
 
ivi mkuu sorry iyo btu 18000 inakava chumba cha futi ngapi kwa ngapi maaana naona bei kama ipo chini mno na mashine kubwa.
Mdau hiyo inacover eneo la 90 square metres yaani kwa kifupi inaweza chkua ata room mbili kwa nyumba zenye size ya kawaida, mashine kubwa tumeweka bei ya kizalendo na wanunuzi wanalenga sana...
 
Mdau hiyo inacover eneo la 90 square metres yaani kwa kifupi inaweza chkua ata room mbili kwa nyumba zenye size ya kawaida, mashine kubwa tumeweka bei ya kizalendo na wanunuzi wanalenga sana...
Nadhani ni around sq36
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom