Amani kwenu.
Uvimo Maktaba
MFUMO WA UMEME WA NJIA MBILI NA UMEME WA SOLA NA TANESCO KUUNGANISHWA
Habari wadau, maktaba yetu inaaamini sote hatujambo.
Uvimo tunao uwezo was kuweka mifumo ya...
Habari wadau,
Mimi sina sifa ya kukopesheka Bank,
Hivyo nina shida ya mkopo wa M3 kwa mtu binafsi
dhamana niliokua nayo ni kiwanja kipo songea changalawe kipo barabarani kabisa
kiwanja kina...
Waungwana kwema? Nataraji sikukuu yaenda vyema kabisa.
Ninahitaji matofali ya kuchoma kwa Dar es salaam wapi naweza pata? Ni haya matofali ya kuchoma ya kawaida kabisa Kama tunayotumia kujengea...
Mashine ndogo za kufulia nguo za watoto na wakubwa pia
Ni semi automatic machines
Yoko Jf brands kutoka China
Zina kg 5
Zinatumia umeme mdogo
Zinahamishika na Rahisi kutumia
Zinafua,kusuuza na...
Afri Power Roofing ni Wataalamu wa kuezeka/Kupaua nyumba waliobobea katika fani hii na wenye uzoefu mkubwa.
Our Services:-
[emoji828]Tunaezeka/kupaua nyumba aina zote kwa uezekaji wa kisasa...
NAUZA MEZA NA VITI VYA MBAO
meza 3 za chakula
Meza 2 kubwa kwaajiri ya counter ya mhagawa
Kuna viti 11 vipo fresh ni bado vipya vilitengenezwa kwaajiri ya mgahawa sasa vinauzwa kwa dharula
Vyote...
Habari wakuu.
Nauza Bajaj TVS, ipo Mbauda Arusha. Ipo katika Hali njema. Bei 2.3m. Mazungumzo kidogo yapo Kwa mteja atakayekuwa serious.
Simu 0776655978 au 0656388678
Naomba kujua gharama ya kununua mashine ya kufyatua tofali kwa mkono nipo tanga mjini nimesikia zidapatikana sido sijui ni kweli naitaji yenye uwezo wa kutoa tofali ya nnchi 8
Mbao zenye dawa treated zisizoliwa na wadudu zinapatikana kwetu kwa bei za jumla na reja reja.
Tunatoa ofa za Misumari ya Bure 10kg na Ofa ya Usafiri wa kukupelekea mzigo sait Bure!
Tunapatikana...
350,000Tsh
1 year warranty
Full HD
Inasoma flash pamoja na external harddrives
Unaweza ukaifanya kama monitor ya computer
Unapewa na wall bracket ukinunua
Piga/Whatsapp 0753038470
Here some EcoActs plastic poles 3.3inch x feet 8 cost 24,500, which are suitable for farm fencing making, gardens making and road signs, our poles they do not rot, terminate free, long lasting...
Wakuu
NAHITAJI mtu mwenye gari aina ya Toyota Ist aniuzie. Iwe Cc 1290. Isiwe imerudiwa rangi au kusushwa injini. Namba DF na kuendelea. Awe mwenye gari sio dalali.
Mwenye nayo anicheck- PM
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu.
Mashine ipo Gongo la Mboto, Majohe, Dar Es Salaam. Bei ni Milioni 4 tu (Hii ni ofa ya mwisho haipungui zaidi ya hapo). Utapewa pamoja na vifaa vyake kama...