Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Shamba linauzwa ni beach plot liko tanga sehem inaitwa AMBONI (mafuriko). Shamba lina ukubwa acre 2 1/2, shamba liko mazingira mazuri kuna umbali usiyo pungua kilometer 1 sea level kutoka...
0 Reactions
0 Replies
773 Views
Specifications RAM 02 GB 16 Imetumika miezi 5 tu. Mawasiliano 0784312904 Bei Ni 120,000/=
0 Reactions
4 Replies
701 Views
Wapedwa wadau napenda niwataarifu kuwa natafuta mtu mwenye mtaji wake wa kutosha company ya catering services ambayo inapatikana hapa DSM, imasajiriwa tangu mwaka 2017 mpka sasa ipo sokoni na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana Jf. Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha habari hapo juu, nauza mashine ya kusafishia taa za magari bei ni Tsh 150,000/= Haina tatizo lolote. Uzuri wa hii mashine imefanyiwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nauza compressor ndogo na heavy duty . Una uwezo wa kutembea nayo ndani ya gari yako popote uendapo. Haswa wale wanaosafiri na magari yao binafsi hii mashine ni muhimu kwako. Ina uwezo wa kujaza...
2 Reactions
12 Replies
6K Views
Asilimia kubwa ya ajali za barabarani hutokea wakati wa usiku .. Hii ni kutokana na uoni hafifu unaosababishwa na miale ya mwanga wa vyombo vingine vya usafiri au matatizo ya mtu kwa na uoni...
0 Reactions
1 Replies
530 Views
Imekuja mashine maalumu ya kusafisha taa kwa teknolojia mpya ijulikanayo kama, XFOLIANT TECHNOLOGY...inayofanya taa yako ya gari kurudi katika mwonekano wake wa awali. Iko hivi hiyo mashine...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimejivuta sana kuandika hii post na mpaka namaliza kuandika line hii ya kwanza bado sijapata wazo sahihi ni wapi nianzie ili kitu ninachotaka kusema kieleweke. Tafadhari! kabla hujasitisha...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
LG 40inch tv mtumba hiyo picha kalii roho ya paka haiweki mistari wala picha haichezi Inasupport; HDMI 1&2 AV USB VGA Bei Tsh 395k 0692402211
0 Reactions
2 Replies
828 Views
Hamjambo waungwana, maboya ya kuweza ku-uphold mzigo wa kilo 10 kwenye maji fresh yanahitajika. Kama kuna mtu anajua wapi yanapatikana, tafadhali tuwasiliane private au hapa sebureni
1 Reactions
1 Replies
606 Views
Wapendwa. Siko hapa kwa ajili ya ku expose shida zangu, ila naomba msaada kwenu ndugu zangu. Ninauza hard disk ya 2TB ninahitaji sh. 200,000/- tu ili nilipie fremu ya biashara. Kudanga siwezi...
4 Reactions
45 Replies
3K Views
White Prawns wanapatikana. Bei Tsh 19,000 kwa kilo. Tupo Ferry/kivukoni Dar. Tunafanya delivery 0719438200.
1 Reactions
0 Replies
558 Views
Habar wakuu Kuna ice cream mold nimeipenda ali express ya 30 holes. Gharama yake ni nafuu Ni kama $60 katika store ya Ezzz store Nimechat nao na nimewaomba shipping watumie silent ocean na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Anayejua machimbo ya nguo kali za mtumba za kiume kwa Mwanza, jinsi kali, mashati na mikato mingine, waje watupe mwongozo tusioyajua machimbo.
2 Reactions
0 Replies
3K Views
Jipatie testimony face cream,kiboko ya chunusi,madoa ,makunyanzi,na inakupa mng'ao wa asili, utaipata kwa 25,000. Dodoma, mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa. Pia tunahitaji mawakala
0 Reactions
0 Replies
690 Views
Habari madalali wa Bongo, na wenye nyumba. Nahitaji chumba cha kupanga cha bei Rahisi, Bei isizidi 50 na please sina hela ya miezi sita. Ningependa maeneo ya kuanzia Tabata Shule hadi Segerea...
3 Reactions
12 Replies
4K Views
Tunauza kuku aina ya Kuroiler F1, tunapatikana Bunju A, kituo "kwa Baharia", jirani na Kituo cha Mafuta cha GUDAL. Bei ni kuanzia 14,500-18,000..kutokana na uzito wa kuku. Bei ya jumla kuanzia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
+255 718755347, Mkinga, Tanga. Tsh 5,500/kg
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Nyumba ina vyumba 3 vyote ni self Size plot 600sqm Usalama upo wa kutosha maana pia nyumba zimejengwa kwenye compound moja ila kila moja ina fence na geti lake Bei 285m Maongezi zaidi chek nami...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mgeni kutoka Ubelgiji amevitumia chini ya miezi miwili na anaviuza kwasababu anahamia nchi nyingine. 1.Shelfu ya chuma- tsh100,000/= 2.Meza ya chuma ya jikoni-100,000/= 3.Mtungi wenye gesi...
2 Reactions
97 Replies
8K Views
Back
Top Bottom