Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habariniwakuu na pia napenda kuwapa pole na majukumu ya ya Kila siku husika na mada tajwa happy juu kuwa nyumba inauzwa 10ml. Ipo pugu kimyamwezi umeme upo pia Hadi bomba la maji lipo Kwa...
1 Reactions
3 Replies
702 Views
Mashine ya kusaga onauzwa mashine bado ipo kwenye hali nzuru kabisa , ina mwezi mmoja tangu itoke dukani aina ya mashine ni YD , HP 20 , pia inatumika kuchania mbao au kumwagilia mashine ipo...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Hii ni miche ya mikomamanga meupe,inaanza kuzaa mwaka mmoja hadi miwili,ni matamu zaidi na mbegu zake laini zinatafunika...inakuwa zaidi maeneo ambayo udongo wake hautuami maji. Mche mmoja ni elfu...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Biashara ya utoaji wa huduma za mikopo kwa ajili ya ukarabati na maboresho ya nyumba ni moja ya njia za kujenga utajiri kupitia uwekezaji huu. Hii sio njia ya moja kwa moja ya kuwekeza kwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu Nauza hii scan tool kwa ajil ya kupimia matatizo kwenye gari Inasoma faults code mbalimbali Inafuta faults code Wireless connection Internet browser Inapokea updates Nk. Price...
0 Reactions
0 Replies
608 Views
Teknolojia makini kwa wafanya biashara makini, jiunge sasa na StraightBook mfumo unaomuwezesha mfanya biashara au mjasiriamali kuendesha biashara kwa mafanikio. ukiwa na straightbook huepusha...
0 Reactions
4 Replies
570 Views
Tunauza nguo za mtumba za watoto, Rejareja na jumla kupoint, jumla za Winger na ballos. Karibu tukushauri pia kuhusu biashara hii. 0712029027
1 Reactions
1 Replies
729 Views
Kwa Laki 2 tu unapata website + hosting mwaka mzima + SSl cerifate Baadhi ya kazi zetu
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Wajumbe kwema... Nina prado 3rz... 95 series (almaarufu Prado Mchaga). Nahitaji mtu mwenye prado ya 1kz. Tufanye exchange nitafanya Top up kidogo ikiwa condition ya gari yake ni bora zaidi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Uzuri wa nyumba sio uimara wa msingi au boma. Uzuri wa nyumba ni pamoja na urembo wake kuanzia nje na mpaka ndani. Pia uzuri wa nyumba ni pampja na muonekano wake, muonekano wake hutegemea urembo...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Tiles za mawe za kuuza. Bidhaa zetu zote ni zinazozalishwa katika Arusha. Tunakomboa nchi kote. Bei Huaanza kutoka 30,000 tzs kwa m2 hadi 50,000 tzs kwa m2 kwajili ya wall cladding tiles. Paving...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SAMSUNG A03 CORE SCREEN - 6.5 INCHES REAR CAMERA - 8 MP FRONT CAMERA - 5 MP ROM - 32 GB RAM - 2 GB BATTERY - 5,000 mAh 24 MONTHS WARRANTY PRICE - Tshs 250,000 CONTACT - 0679 555555
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Kuna offer ya 250k napatikana Dar es Salaam Phone no 0758 978 546. Hela ipo mfuko wa shati
0 Reactions
0 Replies
427 Views
* Nina deliver popote ndani ya Dar *Ninatoa warrant ya miezi sita 6 * Ni original products za uhakika # Click...[emoji338]....0783391278 0718135370
0 Reactions
6 Replies
2K Views
BEACON NI NINI? Haya ni mawe yanayopandwa ardhini kwa lengo la kuonyesha mipaka ya eneo ambalo tayari limeshapimwa. Kikawaida uwa yanapewa herufi na namba kwa mfano ZEY 215. NINI INAPASWA UJUE...
0 Reactions
32 Replies
18K Views
Ujenzi wa ghorofa ni nafuu, kama tu utafuata taratibu. 1: Kwanza hakikisha unatafuta mtaalamu ambae atakuandalia ramani (architectural drawings) ambae kupitia mtaalam huyo hata hakikisha unapata...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hizi zinapachikwa katika drill machine.
0 Reactions
3 Replies
830 Views
Topcon ipo na vifaa vyake vyote tayari kwa kutumika, ni used japo haijatumika sana kama inavyoonekana kwenye picha Specifications; overall length 192mm, effective diameter 30mm, magnification...
0 Reactions
0 Replies
483 Views
Habari Wana JF, nimepata usumbufu sana kwa wakati nafungua kampuni brela, haswa kwenye mambo ya kuanda MEMARTS. MEMARTS yangu ilikataliwa Zaid ya mara tano kwa makosa mbalimbali lkn hatimaye...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Imekua ngumu sana kuwaamini wafanyabiasha wa mitandaoni. Mimi nipo tayari kukuletea bidhaa yeyote unayotaka kutokea Dar. Nitumie picha ya bidhaa unazotaka. Tuelewane gharama kisha nikuletee...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…