INAUZWA Miche ya komamanga meupe(white pomegranate)

Organic mts garden

New Member
Sep 13, 2021
4
10
Hii ni miche ya mikomamanga meupe,inaanza kuzaa mwaka mmoja hadi miwili,ni matamu zaidi na mbegu zake laini zinatafunika...inakuwa zaidi maeneo ambayo udongo wake hautuami maji.
Mche mmoja ni elfu 4500.
Tunapatikana oysterbay karibu na ccbrt

0738832076

FAIDA YAKE:
1.Lina uwezo mkubwa wa kuzuia ugonjwa wa kansa
2. Linasaidia kukinga magonjwa ya moyo
Lina uwezo wa kuondoa Cholesterol mbaya ijulikanayo kama (LDL) na kuongeza Cholesterol nzuri ambayo haina madhara mwilini, ijulikanayo kama (HDL), hii husaidia kuondoa kasi ya kupata kansa.
Juisi ya komamanga inasaidia kwa kiasi kikubwa damu kutembea na afya ya mwili kwa ujumla.
3. Huupa afya mshipa wa moyo wa Arteries
4. Husaidia kurekebisha presha ikae sawa.
5. Husaidia kuimarisha mfumo wa meno kinywani, kwa wale wenye tatizo huwa linaondoka kwa kula sana tunda hilo.
6.Komamanga husaidia pia kutokomeza ugonjwa wa kuharisha, kwa mtu anayeharisha akitumia juisi yake anapata nafuu.
7. Husaidia kupunguza uzito na kukuweka sawa.
8. Huongeza hamu ya kula.
9. Husaidia usagaji wa chakula mwilini.
10. Hutibu ugonjwa wa kupungua kwa damu mwilini.

20220305_085321.jpg

View attachment 2165861View attachment 2165862
 
Hii ni miche ya mikomamanga meupe,inaanza kuzaa mwaka mmoja hadi miwili,ni matamu zaidi na mbegu zake laini zinatafunika...inakuwa zaidi maeneo ambayo udongo wake hautuami maji.
Mche mmoja ni elfu 4500.
Tunapatikana oysterbay karibu na ccbrt

0738832076

FAIDA YAKE:
1.Lina uwezo mkubwa wa kuzuia ugonjwa wa kansa
2. Linasaidia kukinga magonjwa ya moyo
Lina uwezo wa kuondoa Cholesterol mbaya ijulikanayo kama (LDL) na kuongeza Cholesterol nzuri ambayo haina madhara mwilini, ijulikanayo kama (HDL), hii husaidia kuondoa kasi ya kupata kansa.
Juisi ya komamanga inasaidia kwa kiasi kikubwa damu kutembea na afya ya mwili kwa ujumla.
3. Huupa afya mshipa wa moyo wa Arteries
4. Husaidia kurekebisha presha ikae sawa.
5. Husaidia kuimarisha mfumo wa meno kinywani, kwa wale wenye tatizo huwa linaondoka kwa kula sana tunda hilo.
6.Komamanga husaidia pia kutokomeza ugonjwa wa kuharisha, kwa mtu anayeharisha akitumia juisi yake anapata nafuu.
7. Husaidia kupunguza uzito na kukuweka sawa.
8. Huongeza hamu ya kula.
9. Husaidia usagaji wa chakula mwilini.
10. Hutibu ugonjwa wa kupungua kwa damu mwilini.

View attachment 2162686
Dar yanakubali?, kama yanakubali basi watakutafuta

Sent from my D6616 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom