Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Karbu upate kilicho bora kbsa mayai safi yenye kiini Cha njano safi Kwa bei nafuu na ya punguzo kuanzia tray 5 utapata Kwa 13000tsh Kwa Kila tray na Kwa tray moja mpk 4 utapata kw tsh15000 nipo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Make: nissan Model:xtrail Engine: yd22 common rail Capacity: CC 2184 Fuel:diesel. Price:10M Transmission: manual(gear 7) SPEED: 220 KM/HR SABABU ZA KUUZA. nimehamia shamba huku naona kama naitesa...
6 Reactions
28 Replies
3K Views
Anayemhitaji aje PM bei maelewano. Location; Shinyanga
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Eneo Lina ukubwa was metre 35 kwa 40 ni nusu heka lipo pembeni kidogo ya mji na linafaa kwa petrol station, yard au godown Bei ni mill 20 njoo dm kwa namba Lipo karibu na sehemu iliyoandikwa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Anayehusika na mambo ya ujenzi wa minara tutafutane hali tete mtaani
0 Reactions
0 Replies
599 Views
Babu Kubwa Enterprises ni kampuni inayojishughulisha na uzalishaji, utengenezaji, ufungaji na usambazaji wa vyakula, matunda na viungo. B.K Enterprises wanakuletea Unga bora wa lishe, Unga wa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habarini za muda huu wana jukwaa,,mhusika wa hii account nafanya biashara ya kuuza mayai ya kienyeji kwa bei ya rejareja kwa maana ya kwamba kwa sh.15,000/= tu wajipatia trei moja ya mayai...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
[emoji599]SABASABA OFA[emoji599] Pikipiki bure...! PJA PROPERTY DEALERS tunafahamu kwamba unahitaji kiwanja na sasa Sabasaba hii hatukupi kiwanja peke ake bali tunakupa na kiwanja iliyosheheni ofa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hellow! Waungwana! Kuna kitanda kinauzwa hapa. Bei 100k. Mawasiliano. 0768665231.
0 Reactions
2 Replies
802 Views
Tsht 65000
0 Reactions
3 Replies
639 Views
Kama unamiliki kampuni Iliyosajiliwa na una website yeyote ya mauzo mtandaoni. Unaweza ukaendelea kusoma. Kwa wale wenye website tunajua kuwa, tatizo kubwa lililopo kwa sasa ni mfumo wa malipo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za leo! Nauza simu yangu halali na mteja atapatiwa risiti halali,nimekwama mahala naona simu yangu sasa inaweza kunisaidia kujikwamua. Name: TECNO POP5 PRO. Ram:2 GB:32GB. KIPENGELE:HAMNA...
0 Reactions
0 Replies
458 Views
Nimekuwa nikifuatilia kwa mbali sana na kuona ni jinsi gani siku za karibuni USD haitakuwa tena reserve currency ya duniani. Kuna mipango mkakati wa iliyonyuma ya IMF kufanya SDRs (Special Drawing...
1 Reactions
6 Replies
897 Views
Tunatoa huduma ya usindikaji samaki kisasa, samaki Hawa husindikwa kwa kutumia machine niliyotenegeza hapahapa Tanzania. Machine yetu hutumia umeme na gas na samaki huchukua masaa saba...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Tunauza miti (mirunda) Kwa ajili ya ujenzi wa magorofa , nyumba za kawaida au matumizi mengine tuna mirunda takribani 900 PCs bei yetu ni nafuu sana Mawasiliano. sangmelina85@gmail.com
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natafuta CHUMBA hapo Mbagala bei kuanzia 50000 hadi 70000, toi iwe ndani vipi nitapata?
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Wenzangu mnaopenda kupendeza, natafuta sana kiatu cha vans cha mtumba, maana bei yake kutoka nje naona ya moto sana siwezi kufika. Kama kuna anaweza kunisaidia kupata vans namba 39 ntashukuru sana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau salama. Naomba kujua ni mtaa gani Kariakoo wanakouza baiskeli hasa hasa za watoto. Au kama sio Kariakoo, sehemu nyingine ambapo zinapatikana kirahisi. Asanteni
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…