Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Fremu inakodishwa Mbezi mwisho kutoka stand ya Magufuli, Mbezi high school. Ni Km. 1.5 kwa njia ya Mpiji na kutokea Luguruni ni Km. 1. Fremu ina ukubwa wa Sqm. 115 ndani, inafaa kwa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwema wananzengo? Anaejua zinapopatikana hizi sabuni anielekeze, naomba na bei yake kwa jumla, ndogo na kubwa tafadhali. Sitaki rejareja! Asanteni Usiku mwema!
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Wadau habarini za kazi. Bado natafuta wateja wa kamba za katani. Na pia naombeni msaada kupata kufahamu kuna wachina kwa dar wananunua sana kamba za katani. Mwenye kufahamu hili naomba anipatie link.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Karibuni mjipatie Shamba la eka saba na nusu kwa bei nafuu ya shilingi milioni 20. Shamba liko umbali wa kilomita tatu na nusu kutoka barabara ya lami ya Dar Morogoro. Shamba linafaa kwa ufugaji...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Tunatengeneza mashine za kusaga pamoja na kukuboa mahindi,pia mashine za chakula Cha kuku,mixer za udongo pamoja na mashine za kufyatulia matofali,nk,karbuni sana wateja wetu tunapatikana mabibo...
0 Reactions
0 Replies
887 Views
Express and Quick Business Solution ni kampuni yenye uzoefu wa utoaji ushauri na huduma za usajili kimtandao kwa ufanisi na haraka. Usajili wa Kampuni Usajili wa log/Nembo ya biashara/Trademark...
0 Reactions
0 Replies
413 Views
Samsung galaxy jean 2 bado mpya nimetumia miezi mitatu tu tangu niinunue, naiuza 200k nipo Iringa mjini, ukitaka kufanya exchange na kitochi bei inapungua kidogo, ni simu yangu hakuna dalali.
0 Reactions
2 Replies
937 Views
Habarini ndugu, jamaa na marafiki. Hizi ni habari njema kutoka Edem Construction Material Je wewe ni miongoni mwa waathirika wa unyevu katika kuta za nyumba?? kama vile: a) Rangi kubanduka...
2 Reactions
1 Replies
6K Views
Karibuni sana tuwahudumie.
6 Reactions
50 Replies
3K Views
Karibu upate Tanga stones. whatsApp +255 718755347 nipo Tanga, Mkinga (mgodini kabisa). jiwe kubwa moja utapata kwa Tsh 2,000/-, mawe madogo utapata kwa Fuso Tsh 250,000/- na square meter kwa Tsh...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Bei 350000 ina muda wa miezi minne tangu itoke dukani Ni lg original za uk inch 32 0689719676
0 Reactions
5 Replies
592 Views
Full set backery machine vifaa vyote vinafanya kazi. vimetumika mwaka mmoja tu! Yaan vingine ni vipya kabisaaa! Ukinunua kazi yako ni kununua unga nakuanza bakery yako!! (hatuuzi kimoja kimoja). 1...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
SAMSUNG NOTE 10+ ROM-256GB RAM-12GB BATTERY-4300mAh 12MP-2160p 6.8inches 1440×3040pixel IPO CLEAN AS NEW 670K LOCATION:ZANZIBAR BUT INAFIKA POPOTE KWA DSM WASAP NO:0621837193
1 Reactions
4 Replies
696 Views
Brand New Hp Envy Dipsplay size 13.3 inches Slim and Portable Aluminium Chassis 1080 Resolution 620 (UHD) Intel Graphics 8GB NVIDIA 2GB Face Recognition Fingerprints scanner 1. 11th Genearation...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari ya muda huu wakuu. Nauza majiko ya MKAA, flampeni, jalo, naziba masufuria na kutengeneza, pia makalai ya chipsi ndugu. Jumla Kwa wafanyabiasahar na rejareja pia. Naweza pia kufanya deliver...
2 Reactions
3 Replies
736 Views
Star X smart Tv bado mpya nakupa na box lake HDMI cable na bracket kwa 360k napatikan Dar es salaam, Goba number ni 0762595052 za
0 Reactions
2 Replies
755 Views
[emoji95]IFANYE NDOTO IWE KWELI JE WAJUA? Mil 2 ina nguvu?...unamiliki kiwanja chenye ukubwa wa futi 50*40 viwanja vipo tambarare kabisa na vina barabara za mitaa. [emoji3534]Tupo Vikindu na...
0 Reactions
2 Replies
541 Views
Habari wadau wa Maendeleo. Nauza Viwanja. Vipo Bagamoyo njia ya kwenda Msata, eneo la FUKAYOSE. Bei ni Tshs 5,500 kwa square meter moja. Viwanja vimepimwa tayari na vipo kilometers 1.5 kutoka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom