Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunauza computer za aina zote bei nafuu kuanzia 250k na kuendelea vhafuo lako tu, kwa mawasiliano ni 0714894219 Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Nimepata shida ya haraka, Naitoa #Toyota Kluger FU kwa Tsh. Milioni 18 tu #Eng ; vvti 2az #Eng ; capacity 2360 #KL. ; 89600 ☎️0747744895 Karibuni
6 Reactions
33 Replies
3K Views
Hope mpo poa.naomba kujua bei ya simu zifuatazo kwe bei ya jumla kwa dar(kariakoo):tecno 528,tecno 351,tecno 313,tecno 301,tecno 372,tecno 474,tecno 454,itel 2160,itel 2173 na bontel l 600.
3 Reactions
19 Replies
12K Views
Natengeneza Laini za Lipa kwa simu za Vodacom bure kabisa. Popote ulipo Tanzania unahudumiwa. Vigezo uwe na kitambulisho cha NIDA au Namba za nida. Mwenye uhitaji nicheck 0758381938
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Tunachmba visima vya maji virefu kwa mikoa yote kwa elfu 60 mita morogoro Tanga,bagamoyo mtwara lindi na pwani Dar 80 elfu Iringa,dodoma,singida,tabora,mbeya manyara 90 elfu. Shinyanga...
2 Reactions
8 Replies
783 Views
🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁 HIVI MPAKA SASA KUNA MTU HANA ANAHITAJI LAINI ZA UWAKALA NA BADO HAJAPATA USIJALI HUJACHELEWA NJOO NIKUHUDUMIE 🧰 HALOPESA Masaa 12 Done✅ 🧰 TIGOPESA Masaa 12 Done✅ 🧰 AIRTEL MONEY...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu naamini mpo njema.. Mwenye Vitz Old Model nahitaji kununua hivyo naomba mtu anayeuza tufanye biashara.. 0756953032
1 Reactions
0 Replies
582 Views
Mtenja serious ____________ KIWANJA KINAUZWA MBAGALA CHAMAZI MBANDE BEI 💵 M3.3 KULIPA KWA AWAMU MTAA UMETULIA UDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZIPO MAJI UMEME YAPO CONTACT US 0768041126...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Freezer kampuni ya BRUM ujazo litre 201 kugandisha ni chap chap umeme linatumia kama halitaki. Bei ni laki 4 KAMILI...
0 Reactions
6 Replies
868 Views
Huu ni mziki wangu nilikua natumia nyumbani kwangu naamua kuuza maana nahama mji wiki ijayo SIFA ZAKE NI - unatumia dc na ac yaani solar na umeme wa kawaida - una bass...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Fremu inakodishwa Mbezi mwisho kutoka stand ya Magufuli, Mbezi high school. Ni Km. 1.5 kwa njia ya Mpiji na kutokea Luguruni ni Km. 1. Fremu ina ukubwa wa Sqm. 115 ndani, inafaa kwa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwema wananzengo? Anaejua zinapopatikana hizi sabuni anielekeze, naomba na bei yake kwa jumla, ndogo na kubwa tafadhali. Sitaki rejareja! Asanteni Usiku mwema!
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Wadau habarini za kazi. Bado natafuta wateja wa kamba za katani. Na pia naombeni msaada kupata kufahamu kuna wachina kwa dar wananunua sana kamba za katani. Mwenye kufahamu hili naomba anipatie link.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Karibuni mjipatie Shamba la eka saba na nusu kwa bei nafuu ya shilingi milioni 20. Shamba liko umbali wa kilomita tatu na nusu kutoka barabara ya lami ya Dar Morogoro. Shamba linafaa kwa ufugaji...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Tunatengeneza mashine za kusaga pamoja na kukuboa mahindi,pia mashine za chakula Cha kuku,mixer za udongo pamoja na mashine za kufyatulia matofali,nk,karbuni sana wateja wetu tunapatikana mabibo...
0 Reactions
0 Replies
887 Views
Express and Quick Business Solution ni kampuni yenye uzoefu wa utoaji ushauri na huduma za usajili kimtandao kwa ufanisi na haraka. Usajili wa Kampuni Usajili wa log/Nembo ya biashara/Trademark...
0 Reactions
0 Replies
413 Views
Samsung galaxy jean 2 bado mpya nimetumia miezi mitatu tu tangu niinunue, naiuza 200k nipo Iringa mjini, ukitaka kufanya exchange na kitochi bei inapungua kidogo, ni simu yangu hakuna dalali.
0 Reactions
2 Replies
936 Views
Back
Top Bottom