Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana JF Naomba kwa wenyeji wanisaidie ni eneo gani zuri na halina mawe la kuweza kujenga Mwanza?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wasalaam, nahitaji contena 40ft ofa yangu 3mil nipo Dar mwenye nalo tafadhari
1 Reactions
5 Replies
481 Views
Hokpjh
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa mbagala rangi Tatu umbali wa mita 200 tokea Kilwa road. Kina sqm 221.Kina Leseni ya makazi(Hati za Manispaa).Eneo Kuzunguka limejengwa. Nicheki chap kwa 0677089280.
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Training Training Training Step Ahead Financial Consultants Limited would like to invite all interested Accountants and Auditors to attend this important training on Advanced Excel for Accountants...
0 Reactions
0 Replies
677 Views
Printers, copiers, HDD, PC, Monitors, Mabango, kusoma kompyuta etc Tupo Dar, Iringa na Dodoma Piga/watsap: 0623 071 611 Dar - Mwembe Yanga Tandika karibu na chuo cha bandari Dodoma - wajenzi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Printer ya EPSON L382 kwa Tsh 280,000/= tu . Iko clean kama mpya haijawahi kurefill tangu upya wake. Ina 1. photocopy colored na black &white 2. printing colored na black & white 3. scanning 4...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari nduguzanguni, Tafadhali sana sambaza meseji bila kuchelewa. Mtaa wa KISUTU hapa DAR kwenye Mskiti Mkuu wa mahindu (Baniani) Watatoa huduma kwa walemavu na viwete. Wanawapatia viungo vya...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini ndugu zangu Mimi na kaka angu tunatengeneza furniture zote za ndani tupo Yombo Temeke tatizo ni kupta wateja naomba mniunganishe kwa wateja au MTU ambaye naweza ongea nae tukawa...
0 Reactions
2 Replies
612 Views
GX 110 ENGINE SAFII KITONGAA SANAA FULL AC FULL DOCUMENTS BEI 4.8 0625004475
0 Reactions
0 Replies
531 Views
Wakuu poleni na maumivu ya january, Ndugu zangu sina mengi ijumaaa nimeagizwa kikazi mwanza na ofsi na sijawahi kula bata Mwanza nawaomba mnipe ramani ya kiwanja kizuri kilichochangamka chenye...
1 Reactions
46 Replies
9K Views
Ni freezer aina ya Syinix. Lita 263 Ni used lakini kama mpya. Haijawahi kuwa na tatizo wala kutengenezwa. Inapatikana Dar es Salaam. Nauza tsh. 500,000 au kama una friji ya kioo (show case)...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji kifaa kinaitwa power supply, kutoka AC 220-250 kwenda DC 24 vdc ( 240vac to 24vdc) kwenye Amps 4 mpaka 6 au zaid. Please kwa wauzaji aje in box.
0 Reactions
6 Replies
583 Views
Wakuu kwema? Natafuta mafuta ya mawese kwa anayeuza mengi bei ya jumla Asanteni
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wasalaaam ndugu zangu Moja kwa moja Kwenye kilichonileta hapa, Ni kuwapa taarifa hii ndugu zangu ufikapo Songwe(Vwawa,Mlowo,Mpemba,Tunduma,mkwajuni,Saza n.k) Tunakurahisishia kupata huduma yoyote...
2 Reactions
0 Replies
827 Views
Nyumba ni ya familia tunauza. Nyumba inafaa sana kwa hotel,guest or Airbnb(watalii wengi sana) Ipo katikati ya mji mkongwe(stonetown),karibu na maeneo yote ya utalii kama forodhani,beach nk...
3 Reactions
26 Replies
5K Views
Mwenye navyo au mwenye nacho ani dm, tafadhari .
1 Reactions
5 Replies
784 Views
Hello, I am looking for English Medium School Teacher under the following basic requirements; 1. Degree holder in Education 2. Able to work in remote areas within Tanzania. 3. Able to work under...
0 Reactions
0 Replies
594 Views
Natafuta pikipiki aina ya Yamaha DT 125 ya kununua iliyonyooka iwe na documents zote kama unayo piga hapa 0752883171.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom