Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari yenu wakuu Natafuta DLDM (Duka la dawa Muhimu) ya kununua iliyopo DSM, iwe na sifa zifuatazo #1. Iwe imesajiliwa hata kama haina leseni #. Iwe location nzuri #3. Iwe na mauzo ya...
0 Reactions
12 Replies
945 Views
Ndugu naomba kujua wapi tapata spea za pikipiki aina ya yamaha crux au km unauza basi naomba tuwasiliane 0622389745
0 Reactions
0 Replies
957 Views
Habari ndugu zangu, Nyumba inatafuta mpangaji, mpangaji amehama jana tar 04/Dec/2022. Location-Kimara stopover Kodi-450K per month Ulipaji-Kila baada ya Miezi 6 Vyumba vi3 (Kimoja masters)...
0 Reactions
2 Replies
754 Views
Ni nyumba nzuri kwa ajili ya matumizi ya familia ipo jijini Mwanza, bei yake ni shilingi milioni 37 japo maongezi yapo. Wewe njoo na pesa yako tuongee, hiyo bei wala isikutishe, miliki na wewe...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Smart bracelete Ni Bracelete ambayo ni ya kisasa. Inapima mapigo ya moyo BP, Heart Rate Ina hesabu Steps,Kms pia ni sport watch Unapata Notification za Simu kama Whats App/Calls/Msg/Fb/Twitter...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
1. Lubricant and coolant 2. Mechanical spare parts 3. Laboratory chemicals and water treatment chemicals 4. Propane refrigerant 5. Valves spareparts 6. Gas engine turbocharger.
1 Reactions
9 Replies
605 Views
Hii kitu inashangaza sasa huyu mtutokea tumempa uanachama wa EAC Anajikuta yeye ndo yeye ivi anamtishia nani hasa TANZANIA au KENYA ??? huyu bwana ujue ajiangalie sana aache kelele kelele zake...
9 Reactions
12 Replies
1K Views
Wadau natafuta wanunuzi wa ream paper mond 1 kwa jumla bei ni 42000 per carton. Ninauza ream paper mond 1 kwa bei ya jumla..mawasiliano 0787699766.
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Nauza kiwanja kiko miembe sana kibaha , karibu na morogoro road , umbali ni kama nusu kilometa Yaani mita 600 hivi toka main road. kiwanja kikubwa mita 55 Kwa 26 . Bei ni 13m Nina shida ya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunasafisha magari haina zote, tunaosha, tunafua siti, rufu, tunang, arisha taa, tunamwaga oili, tunatengeneza magar, tunapiga rangi, tunapiga polish ya mashine, pia tunakosha mazuria ya nyumba...
0 Reactions
1 Replies
401 Views
Kuhusu Mwandishi; Robert Irwin Robert Irwin ni mwekezaji kwenye viwanja na nyumba. Irwin ni mbobezi, kocha, na mwandishi maarufu sana katika nchi ya Marekani. Irwin ametajwa kama mtaalamu namba...
3 Reactions
4 Replies
3K Views
Nyumba ina mwonekano wa kuvutia wa ndani na nje. Ina vyumba vine vya kulala vinachojitoshereza, subure kubwa, jiko la kisasa na mahali pa kula ( Dinning area). Bei 500mil na inaongeleka. Kuiona...
3 Reactions
490 Replies
66K Views
Wakuu habari zenu, Ninauza kiwanja - Size: Urefu FT 60 upana FT 105 - Kipo Kisemvule mtaa wa Machimbo Kidubwa, maarufu kama viwanja vya Ustadhi. - Nyaraka nlionayo ni "Offer", kimepimwa na...
0 Reactions
6 Replies
810 Views
habari wanajukwaa .. nauza redio yangu aina ya seapiano .. ipo katika hali nzuri sana .. ina sehemu ya flash pia ina rimoti yake ... bei tsh 120,000 location ..Moshi mjini mawasiliano 0715 194 611
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ps4 fat 1 pad moja version 9 kamili.... Full box. 650k Haina wala chochote ni mpya Ukiitaji nichek PM
0 Reactions
6 Replies
501 Views
Kwa mahitaji ya decoration za ndan Tv wall Gypsum design Wallpaper za ukutan Panel mbalimbali Karibu tukuhudumie tupo Dar es salaam Bugurun sheli popote tunakufikia Mawasiliano zaid Phone...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya polythene tube(Viriba) vya size kuanzia Inch 2.5 hadi Inch 15 vya Gauge(G) zote zinazohitajika kwa uotesheaji wa miti ya matunda, mbao, maua N.k kwa Tsh 4000/= tu kwa KILO 1 Karibu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Nahitaji kukodi gari zifuatazo, kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale ndani ya jiji la Dar es Salaam. Yoyote mwenye moja kati ya hizi gari au zote kwa pamoja naomba aipost...
1 Reactions
1 Replies
555 Views
Habari, nimenunua hili begi bado jipya ndio kwanza lina week moja kwaajiri ya kubebea Laptop yangu ila naona hii siyo aina yangu ya begi kabisa, nimezoea begi la mogongoni nimelishindwa...
1 Reactions
10 Replies
932 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…