Karibuni kwenye uzi wangu.
Nimeanzisha biashara ya mashuka mtumba grade AAA.
Material ni Cotton. Size Mbali Mbali.
Kwa Dar delivery itafanyika. Na mikoani vilevile utatumiwa kwa usafiri...
Gari ya kuwekewa mtungi mdogo wa 8kg ni 1.5million tu
Gari ya kuwekewa mtungi wa kati wa 10kg ni 1.8million tu
Gari ya kuwekewa mtungi mkubwa wa 15kg ni 2million tu
Kwa mawasiliano piga...
Gari nzuri ipo mwanza mjini ni Toyota crown namba D..rangi ya silver ipo katika hali nzuri bei ni millioni 10 japo maongezi yapo..0769344686 nipigie tuzungumze.
Songwe Financial, Marketing, and Consultant Services (FIMACOS)
FIMACOS is a professional services firm in Mbozi Songwe region.
We provide accounting, taxation advice, marketing, statutory and...
Haya sasa watu wangu wa Arusha na Moshi na mlioko krb na hayo maeneo mzigo wa Flash umeshawasili nchini. Flash ni 32GB original zenye warranty na zinakuja na ZAWADI NNE (4) otg type B, otg type C...
Habari yenu wakuu
Natafuta DLDM (Duka la dawa Muhimu) ya kununua iliyopo DSM, iwe na sifa zifuatazo
#1. Iwe imesajiliwa hata kama haina leseni
#. Iwe location nzuri
#3. Iwe na mauzo ya...
Habari ndugu zangu,
Nyumba inatafuta mpangaji, mpangaji amehama jana tar 04/Dec/2022.
Location-Kimara stopover
Kodi-450K per month
Ulipaji-Kila baada ya Miezi 6
Vyumba vi3 (Kimoja masters)...
Ni nyumba nzuri kwa ajili ya matumizi ya familia ipo jijini Mwanza, bei yake ni shilingi milioni 37 japo maongezi yapo. Wewe njoo na pesa yako tuongee, hiyo bei wala isikutishe, miliki na wewe...
Smart bracelete
Ni Bracelete ambayo ni ya kisasa. Inapima mapigo ya moyo BP, Heart Rate
Ina hesabu Steps,Kms pia ni sport watch
Unapata Notification za Simu kama Whats App/Calls/Msg/Fb/Twitter...
1. Lubricant and coolant
2. Mechanical spare parts
3. Laboratory chemicals and water treatment chemicals
4. Propane refrigerant
5. Valves spareparts
6. Gas engine turbocharger.
Hii kitu inashangaza sasa huyu mtutokea tumempa uanachama wa EAC Anajikuta yeye ndo yeye ivi anamtishia nani hasa TANZANIA au KENYA ??? huyu bwana ujue ajiangalie sana aache kelele kelele zake...
Nauza kiwanja kiko miembe sana kibaha , karibu na morogoro road , umbali ni kama nusu kilometa Yaani mita 600 hivi toka main road. kiwanja kikubwa mita 55 Kwa 26 . Bei ni 13m
Nina shida ya...