Habari za leo wana JF? Natumaini niwazima wa afya tele...
Mimi ni mjasiriamali mdogo mwnye mwenye ndoto za kufika mbali sana.
Tatizo linalonisbua kwnye bishara yangu ni hawa wadudu INZI, Licha...
Habari za wakati huu;
Ndugu zangu hapa jukwaani nimekuwa nikiona watu wengi wakihangaika juu ya kukosa wateja wa bidhaa au huduma zao na wengine wakilalamika juu ya kukosa connection.
Connection...
Huduma zetu!
KUCHIMBA VISIMA VYA MAJI.
KUWEKA NA KUTENGENEZA BOMBA (PLUMBING SYSTEM) KWENYE MAJENGO YALIYO KWENYE UJENZI NA YATUMIKAYO.
KUBADILISHA/ KUSAFISHA PIPE ZA MAJI SAFI/TAKA...
naamini sio ndoto tena kuona waliofanikiwa
Kwenye ufugaji ila pia natamani isiwe ndoto
Pia kwako uwe mmoja wa waliofanikiwa Kwenye
Ufugaji, nipite njia ipi?
1. Kuwa tayari (roho ya kuanza...
Habari za leo ndugu, natumai mu buheri wa afya. Niende moja kwa moja kwenye mada. Naomba kujuzwa chuo kinachofundisha kunyoa (vinyozi) kwa hapa Dar. Nitashukuru nikipata huu msaada wadau.
Je? Bado kuku wako wanateseka na magonjwa au kula mayai.
Ongeza uzalishaji wa mayai pia hata nyama kwa kufugia kwenye. Vizimba (CAGES) za kisasa kutoka mwalimu group ltd hii ni kubwa, Kuliko sasa...
Updated 02 January 2023
Watch Camera Spy Hidden 1080p Night Vision 32GB for 140,000/=
Features
✔1080p HD camera
The camera supports 1920x1080p resolution recording.
✔ Easy operation
Simply press...
Habari za wakati huu wakuu
Niende moja Kwa moja kwenye swali langu
Nahitaji kununua machine ya kukamua miwa (juice ya miwa)
Je machine ipi itanifaa interms of efficiency, uimara, pamoja na...
Zipo TV 3 zilikua kwenye Moja ya Ofisi ya Movies Store nahitaji kubadilisha kupata TV 1 kubwa so naziuza zote 3 kwa pamoja.
Mtu aje na 500,000 atazichukua zote 3 kwa pamoja, TV ni Mpyaaaaaaaa...
Machine ya miwa Kama hii ndio inayofaa maana wengi tunapenda usafi na hii itaifanya juisi iwe safi pindi unapoifanyia kazi.
Sifa nyingine umeme kidogo tu unatumika Hakika inafaa kibiashara...
Baada ya zuio kuondolewa naomba mtu mmoja anisaidie kupata gwanda la chadema suruali +shati+ kofia,
Ama hata kimojawapo
Karibu PM tuyajenge Kwa aliye tayari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.