Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahitaji haraka Ac ukubwa iwe Hp 1 mpaka 1 na robo, nipo Dar es salaam ukanda wa Tegeta. 0766111212 Sent from my SM-N985F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
4 Replies
726 Views
Kama kichwa cha habari habari apo juu kinavyosomeka
0 Reactions
0 Replies
747 Views
• Direction: Kigamboni Gezaulole, 13 km from Ferry • Rent: TZS 1,000,000/month • Terms: 6 months • Viewing charge: TZS 20,000 • Brokerage fee applies . √ standalone √ 1 master & 1 common bedrooms...
0 Reactions
0 Replies
479 Views
Habari za leo wana JF? Natumaini niwazima wa afya tele... Mimi ni mjasiriamali mdogo mwnye mwenye ndoto za kufika mbali sana. Tatizo linalonisbua kwnye bishara yangu ni hawa wadudu INZI, Licha...
1 Reactions
38 Replies
28K Views
Habari za wakati huu; Ndugu zangu hapa jukwaani nimekuwa nikiona watu wengi wakihangaika juu ya kukosa wateja wa bidhaa au huduma zao na wengine wakilalamika juu ya kukosa connection. Connection...
21 Reactions
28 Replies
6K Views
Huduma zetu! KUCHIMBA VISIMA VYA MAJI. KUWEKA NA KUTENGENEZA BOMBA (PLUMBING SYSTEM) KWENYE MAJENGO YALIYO KWENYE UJENZI NA YATUMIKAYO. KUBADILISHA/ KUSAFISHA PIPE ZA MAJI SAFI/TAKA...
1 Reactions
434 Replies
57K Views
naamini sio ndoto tena kuona waliofanikiwa Kwenye ufugaji ila pia natamani isiwe ndoto Pia kwako uwe mmoja wa waliofanikiwa Kwenye Ufugaji, nipite njia ipi? 1. Kuwa tayari (roho ya kuanza...
0 Reactions
0 Replies
690 Views
Nauza Rim paper A4 80 gsm Rim moja 12000 Location Dar : No 0786520097 or 0786918219
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari za leo ndugu, natumai mu buheri wa afya. Niende moja kwa moja kwenye mada. Naomba kujuzwa chuo kinachofundisha kunyoa (vinyozi) kwa hapa Dar. Nitashukuru nikipata huu msaada wadau.
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Jipatie logo kwa bei nafuu msimu huu wa sikukuu. Call: 0766043459 Karibuni..
1 Reactions
1 Replies
635 Views
Admin naomba ufute hili tangazo AC imeshauzwa
2 Reactions
3 Replies
521 Views
Je? Bado kuku wako wanateseka na magonjwa au kula mayai. Ongeza uzalishaji wa mayai pia hata nyama kwa kufugia kwenye. Vizimba (CAGES) za kisasa kutoka mwalimu group ltd hii ni kubwa, Kuliko sasa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Updated 02 January 2023 Watch Camera Spy Hidden 1080p Night Vision 32GB for 140,000/= Features ✔1080p HD camera The camera supports 1920x1080p resolution recording. ✔ Easy operation Simply press...
2 Reactions
42 Replies
15K Views
Niuzie Adopter ya Lenovo...USB cap
0 Reactions
1 Replies
323 Views
Habari za wakati huu wakuu Niende moja Kwa moja kwenye swali langu Nahitaji kununua machine ya kukamua miwa (juice ya miwa) Je machine ipi itanifaa interms of efficiency, uimara, pamoja na...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Heshima yenu wakuu Wakuu naomba kuuliza blender nzuri pia Kampun nzur nitawapata wapi nipo dodoma
0 Reactions
4 Replies
648 Views
Zipo TV 3 zilikua kwenye Moja ya Ofisi ya Movies Store nahitaji kubadilisha kupata TV 1 kubwa so naziuza zote 3 kwa pamoja. Mtu aje na 500,000 atazichukua zote 3 kwa pamoja, TV ni Mpyaaaaaaaa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Machine ya miwa Kama hii ndio inayofaa maana wengi tunapenda usafi na hii itaifanya juisi iwe safi pindi unapoifanyia kazi. Sifa nyingine umeme kidogo tu unatumika Hakika inafaa kibiashara...
0 Reactions
6 Replies
946 Views
Baada ya zuio kuondolewa naomba mtu mmoja anisaidie kupata gwanda la chadema suruali +shati+ kofia, Ama hata kimojawapo Karibu PM tuyajenge Kwa aliye tayari
3 Reactions
7 Replies
656 Views
LENOVO IDEAPAD RAM 4 PROC 2.5 HDD 500 64 BITS Haina tatizo lolote, Bei 350,000 Tzs Location: DSM Mbagala Sabasaba Cont: 0716321462
0 Reactions
4 Replies
530 Views
Back
Top Bottom