Attention
Huduma ya free Wi-Fi installation bado IPO kwaajiri ya matumizi ya ofisini au nyumbani kwa mtandao wenye super kasi WA vodacom. Huduma zikiwemo free antenna, free wireless router, free...
Hii PIKIPIKI IMESHAUZWA, IMESHANUNULIWA NINA WA SHUKURU WATU WOTE WA HUMU NDANI KWA USHIRIKIANO WENU HATIMAE NIMEUZA SIKU NYINGINE NIKITANGAZA BIASHARA MSIWE NA SHAKA WALA WASIWASI YOYOTE
Wakuu...
Jaman nimefungua Duka la simu sasa naitaji Ile midoli ya simu ambayo inakuwa ni kama simu sema uwez kuweka line tu
Inakuwa easy kumpa mteja aangalie the way simu anayoitaji ina specifications...
Kwa ufupi.
Mashine za kuchimba miamba mahususi kwa visima vya maji, migodi au ujenzi.
Zinauzwa kutoka kampuni ya JCR RIGS ya India.
Zote nitakazokuwa na post hapa zipo India.
Ukiitaji utatumiwa...
Habarini wadau, nauza kiwanja kipo Kata ya MAPINGA kijiji cha KIHARAKA mtaa wa SOWETO karibu na kambi ya jeshi MBWENI, huduma za kijamii zote zipo na kimeshapimwa tayar, Ukubwa 25x25..dk10 kutoka...
Single Unit Remain
LandCruiser Double Cabin
Currently Registration EAE
DashBoard Kubwa
Mwaka 2015/2016
Gold In Colour
Low Milage OG
Manual Drive
1HZ Engene
Cc 4164
Diesel Engene
Gear 6 Reverse ya...
Hello wanajukwaa.
Natoa huduma ya kufundisha kozi ya kiingereza (English Course) kwa watu wazima wa elimu kuanzia darasa la saba.
Kozi inafundishwa kwenye madaraja matatu (3)
1. Basic level...
Habari nipo hapa kuwajuza wote watakao penda kumiliki blogu nipo kufanya kazi hiyo
Ofa kwa mwana jamiiforums wote
Bei 10,000 bila domain
Na 15,000 kwa blogu ambayo inakuja na domain name ya...
Habari za leo wafanyabiashara
Naomba kujua naweza kupata wapi soko la mercury hapa nchini, Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla.
Pia, kama una connection ya buyers/wanunuaji wa Mercury...
Wanahitajika mawakala wa super gro Mikoa yote Tanzania Zambia Congo na Malawi
VIGEZO
1. Muaminifu
2. Mchapakazi
3. Mtaji kuanzia 550000/=
Faida tatu za kuwa wakala
1. Faida za mauzo
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.