Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Sabato njema! Ni HP, HDD ni 500GB, CPU ni 2.4 GHZ, RAM ni 8GB. NB: Haina tatizo lolote isipokuwa battery yake haikai na chaji zaidi ya dk 30. Location ni DSM. Nataka niongeze hela ninunue mpya...
0 Reactions
7 Replies
577 Views
Asking Price 150,000
0 Reactions
2 Replies
562 Views
Kina ukubwa wa sqm 1566 kipo karibu na magorofa ya NSSF kimepimwa tayari hati inatoka moja kwa moja kwa jina lako huitaji transfer Bei ml 20 kipo mita 150 toka lami ilipo nicheki 0713672719/0787672719
3 Reactions
182 Replies
21K Views
Iwe mkoa wa arusha au moshi kama ipo mawasiliano kupitia namba 0763506458
1 Reactions
6 Replies
499 Views
Habari wana jukwaa! TAARIFA: KIWANJA KIMESHAUZWA Note: admin sijaelewa kwa nini tangazo la kwanza mmelifuta. Tafadhali naomba msifute au laah niambieni nakosea wapi Nauza kiwanja changu kipo...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
nina smartphone aina ya oppo r7 plus yenye sifa zifuatazo:- 64GB storage 4GB ram 6.6 inches display size aina ya omoled yenye graphic kali sana 13mp back camera yenye kuonyesha kitu katika ubora...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Habar Naomba kufahamishwa location morogoro mjini Duka la Viatu quality Na Duka la saa za mkononi original Example [emoji116] Asanteni.
0 Reactions
28 Replies
2K Views
PATA SCREEN MAGNIFIER ++KUZA UKUBWA WA SCREEN KATIKA SIMU YAKO +JIKINGE DHIDI YA MIONZI INAYOUMIZA MACHO YAKO WAKATI UNAPOTAZAMA MOVIE KATIKA SIMU YAKO Ukubwa wake 19cm*12cm Free delivery ndani...
0 Reactions
0 Replies
401 Views
Ukaguzi wa nyumba ni sehemu muhimu sana kwenye mchakato wa kununua kiwanja au kununua nyumba. Fomu ya ukaguzi wa kiwanja au nyumba inatakiwa kuwa na vipengele vifuatavyo;- ✓ Taarifa za nakala za...
4 Reactions
1 Replies
1K Views
karibu kwa nguo za kike short dress na magauni bei chee 7k. Namba 0787616723 whstpp
0 Reactions
2 Replies
584 Views
Nazitafuta sana sizipati hizi mwanandani za wanaume.Ni za Uturuki.Mwenye kujua please.
0 Reactions
3 Replies
714 Views
Kiwanja kizuri sana Kina huduma zote Maji Umeme Barabara Kipo nyuma ya shule ya msingi twende pamoja Jirani na gereza la mahabusu kibaha (sofu) Kina ukubwa wa mt 20 kwa 25 Barabara ipo mpaka...
0 Reactions
1 Replies
504 Views
Iwe namba 'd' Mwenye nayo anidm pesa mfuko wa shati iwe dar es salaam tu
1 Reactions
19 Replies
1K Views
LOGO DESIGN Bei: 50,000/= 2 Logo Concepts ikiwa na raundi mbili za masahihisho kwa kila Logo. 70,000/= 3 Logo Concepts ikiwa na raundi mbili za masahihisho kwa kila Logo. BRAND IDENTITY Bei...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Wale wanaohitaji mashine za kukoboa na kusaga tunawaletea ofa kubwa msimu huu wa mavuno Ssasa miliki mashine yako kubwa kwa bei ndogo kabisa Msimu wa mavuno ni sasa Offa zetu hizi Tanzania...
3 Reactions
54 Replies
18K Views
Kwa Dodoma Mjini vitanda vya sofa vipo vipya na imara it's only 220k nichek 0710 954395 vipo rangi zote.
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Bati hizi ni zile laini au nzito kidogo ambazo hutumika kutengenezea loka/ masanduku ya bati (maloka) ya kutunzia vifaa vya wanafunzi wawapo bwenini. Msaada tafadhali. Yanapatikana wapi na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kiwanja kiwanja Bei nzuri Bei ya offer, kiwanja ni chakwangu mwenyewe, hakuna udalali, umeme na maji vipo eneo la kiwanja. Maendeleo na nyumba zimejegwa sana, kiwanja ni hatua 25 kwa 20 Bei ni...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Simu mpya toleo la POP 7 imeweka rekodi ya mauzo baada ya kuuzika simu zaidi ya 5000 ndani ya muda wa mwezi mmoja kwanzia ilivyo ingia sokoni. Hii inaonesha jinsi gani mapokezi ya toleo hili la...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
HP Probook 430 G1 HDD: 500GB RAM:4GB Core i5 Haikai na Charge Comes with Windows 10. All keys working. Speaker working. Free Charger. Price: 350,000/= Call 0689341445
1 Reactions
13 Replies
892 Views
Back
Top Bottom