Ni muuza magodoro hapa.
Nimefurahi kukutana nanyi jukwaani..
Nashukuru sana.
Karibu ujipatie godoro lako.
Tupo kariakoo dar es salaam
0712082915
Whatsapp
0684943062
KARIBUNI SANA
JE, SABABU YA KUKOSA INCUBATOR NI PESA PUNGUFU
MWALIMU GROUP LIMITED Tunakuletea huduma ya ulipaji kidogo kidogo
Na mkopo wa incubators na Pellets machine sasa unaweza chukua mashine
Ikiwa...
Habari,
Samahani kwa usumbufu ila naomba msaada wa kujua sehemu wanapouza mashine za kutengeneza interlocking bricks,nlikua naomba msaada wak ujua wanauza shillingi ngapi hizo mashine za manual...
Wakuu.
Kama sikosei juzi kuna mtu aliweka hapa tangazo la nyumba ya biashara iliyokuwa inauzwa kule Kigamboni. Vilikuwa ni vijumba kama vinne hivi vinavyojitegemea ndani ya compound moja; na...
AMBWENE KONZO LIMITED WANAKUPA NAMNA , RAHISI, SALAMA NA NAFUU ZAIDI YA KUTOA RISITI ZA TRA KWA KUTUMIA SIMU,KOMPYUTA,POS AU MFUMO WAKO ULIONAO. HUNA HAJA YA KUNUNUA MACHINE.
ILIKUPATA HUDUMA...
Habari wadau, ninahitaji mashine hizo za Wakala (CRDB na NMB) kwa aliyenazo zote au mojawapo na amesimama kutumia tafadhali tuongee biashara.
Location: Dodoma
Natafuta Nyumba Ya Kupanga Dar es salaam.
VIGEZO:
1. Iwe Maeneo ya Kigogo mbuyuni mpaka chawote au Magomeni Mapipa,Mikumi,Kanisani au Usalama mpaka manzese
2. Nyumba Yenye Ngome(Iliyondani Ya...
Karibu tukuhudumie. Laptop zetu zote zina SSD storage, 8GB RAM. Karibu tukuhudumie. Tunapatikana Machinga complex floor ya pili. Tupigie ama tutumie message whatsapp kupitia namba zetu 0753555055...
Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu, kama unauza vanilla grade one (kuanzia sentimita 13 na kuendelea) njoo PM kwa mazungumzo zaidi.
Iwe Dar es Salaam.....
Call/Whatsapp: 0710535327
Kama wewe ni mfanyabiashara wa dagaa au samaki, upo Dar, mi niko Mwanza, natoa service ya kukutafutia na kukusafirishia kwa njia ya basi, my service charge ni Tzs 35,000.
Tairi ni kama ifuatavyo:
2 pieces Pirelli P Zero (PZ4) size 265/45R 18
2 pieces Ironman iMOVE GEN2 size 245/50R 18
Rim size ni inchi 18.
Hizi tairi niliagiza brand new kutoka USA mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.