Fazz
JF-Expert Member
- Mar 14, 2019
- 635
- 1,456
Habarini mwaka ndo ushaanza hivyo,
Ipo hivi unaweza ukawa unatafuta chumba au nyumba au hata kiwanja chenye specification flani unazotaka, lakini madalali watakuonyesha kitu tofauti kabisa, utashangaa ushalipia baaada ya hapo utagundua kumbe hapa sipo napohitaji eeh unaanza kuhaha tena kufaulisha hiyo nyumba au hata chumba au kiwanja hata magari pia, hawa jamaa sijui wanatumia nini..
Anyway nimeanza kazi ya udalali Kama unahitaji chumba au nyumba kuanzia Ubungo, Kimara na Mbezi karibu tuyajenge.
Nb: Mi namtegemea Mungu utapata unachotaka
Ipo hivi unaweza ukawa unatafuta chumba au nyumba au hata kiwanja chenye specification flani unazotaka, lakini madalali watakuonyesha kitu tofauti kabisa, utashangaa ushalipia baaada ya hapo utagundua kumbe hapa sipo napohitaji eeh unaanza kuhaha tena kufaulisha hiyo nyumba au hata chumba au kiwanja hata magari pia, hawa jamaa sijui wanatumia nini..
Anyway nimeanza kazi ya udalali Kama unahitaji chumba au nyumba kuanzia Ubungo, Kimara na Mbezi karibu tuyajenge.
Nb: Mi namtegemea Mungu utapata unachotaka