Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza kubanda cha chuma chenye upana wa futi 6 kwa 7 kipo Kibaha. Bei 750000 Piga namba hii 0742950711
0 Reactions
1 Replies
907 Views
Attention all business owners! Are you looking to establish a strong online presence for your brand? Look no further than our website design services at KIKIWEB LTD! Our team of expert designers...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ya jioni wakuu. Endapo unahitaji: 1. Kusajili kampuni, 2. Jina la biashara 3. Alama/nembo za biashara 4. Kufuatilia kibali BoT kwa ajili ya kampuni za kukopesha 5. Nk usisite kunicheki...
2 Reactions
9 Replies
762 Views
Apple MacBook Pro Laptop Inauzwa Bei 1M Mawasiliano 0623745875 Specifications Display Retina display 13.3-inch (diagonal) LED-backlit display with IPS technology; 2560-by-1600 native resolution...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nauza Vespa NV Ipo katika condition nzur labda. Napatikana Zanzibar Bei 1,800,000/= No. 0655 205796
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari Wakuu,, Nauza Smartphone yangu Infinix hot 12 Play. ROM GB 64 RAM GB 4 +3=GB 7 Battery 6000mAh Simu Haina Shida yoyote ile na Pia inakaa sana na Chaji, Nmeitumia Mwezi mmoja tu na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Spark 8 Storage 64 gb Ram gb 2 200k Haina kipengele Ina mwezi Location Arusha Popote inakufikia 0744883353
0 Reactions
3 Replies
793 Views
Msaada anayefahamu bei ya jumla kwa gunia la viazi mkoani Njombe na bei ya kusafirishia kutoka Njombe hadi Dar es salaam.
4 Reactions
15 Replies
11K Views
Nauza tv star x inchi 43 kwa bei tajwa.Tv hii ni smart kama unavyoiona na ipo Tegeta Dsm.Ni tv yangu halali,nilinunua dukani, ina box na vitu vyake vyote.risit ninayo. Maongezi kidogo yapo. Kwa...
1 Reactions
5 Replies
834 Views
Habari wana jamii forum. Naomba kupata msaada wa Mawasiliano ya mtu au kiwanda / agent yeyote anayeusika na utengenezaji wa materials za Box kama za kutengeneza cattons za sabuni ya mche. Mfano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NAUZA SAFETY BOOT ZA MTUMBA sh 22,000 Size 41 Mahali:yombo-DSM Zipo vizuri, Ukihitaji picha au nirekodi video uone njoo WhatsApp Ukihitaji naweza kukuletea mahali ulipo, ndani ya Dar Simu no...
1 Reactions
0 Replies
893 Views
SIFA ZA MASHIMO HAYA; •Hayajai •Hutumia eneo dogo •Hayana harufu •Uwezo mkubwa wa kukabiliana na ardhi yenye maji •Hutumia vifaa vya kisasa katika ujenzi wake •Gharama za ujenzi ni nafuu •Vifaa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jipatie PS4 used kwa miezi mitatu tu Ina Game 5. Bei 650,000 Ipo Mwanza Igoma stendi tu hapo 0767 733 555
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu wanajamii forum wenzangu..Mimi nafanya kazi ya UWAKALA WA FORODHA BODA YA TUNDUMA…kama unamzigo wako uwe una toka TANZANIA kwenda nchi yoyote kupitia boda ya Tunduma au uwe unatoka nchi...
2 Reactions
54 Replies
7K Views
Tuko Ubungo maji Dar es salaam . Nicheki Kwa namba 0679903576
1 Reactions
2 Replies
843 Views
Habari. Nipo Arusha nahitaji friji ndogo sana ya kuweka chumbani. Kama unayo nicheki Kwa 0656388678
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu Kuna taa za nyuma za Toyota Harrier (chogo/tako la nyani) nimezipenda sana. Kwa Tz hapa naona bei juu sana kuna sehemu mil 1.2 kwingine hadi 1.6mil Mwenye uzoefu wa kuagiza naomba...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwena sokoni. VIGEZO. 1.Gari iwe na dereva wake. 2.Dereva atalipwa na mwenye gari. 3.Tani 3. 4.Gari itakodiwa kwa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwenda sokoni. VIGEZO 1. Gari iwe na dereva wake. 2. Dereva atalipwa na mwenye gari. 3. Tani 3. 4. Gari itakodiwa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwenda sokoni. VIGEZO. 1. Gari iwe na dereva wake. 2. Dereva atalipwa na mwenye gari. 3. Tani 3. 4. Gari itakodiwa...
0 Reactions
3 Replies
760 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…