KUNA JAMAA ALIRUSHA ISHU KUWA VIWANJA VINAUZWA KILINDI.
EBWANA KAMA UPO NIPE SIMU YAKO NIKURUSHIE HATA VOCHA AU TUMA EMAIL kwanzamen@yahoo.com.
Bwana nimepata viwanja bomba sana nilidrive...
Are you an alumnus of Land Management and Valuation by then under UCLAS of UDSM, now School of Real Estate Studies under Ardhi University? If YES, do not plan to miss this golden opporunity at...
Wana JF nauza Gari yangu aina ya Mazda MPV ya Mwaka 2002, Automatic, Seven Seater family car kwa bei ya kutupa kabisa shilingi 9.5m na Maelewano yanaweza kuwepo. Sababu ya Kuuza ni kutotosheleza...
Wadau,
The above intact Daihatsu is on immediate sale, no discount on the above price.
Full options.Alarm added.Full service and was driven by a working lady for 2 yrs in DSM
All duties paid...
Msaada waungwana wana JF natafuta mashirika ya ujenzi wa nyumba Dar. nakusudia mashirika ambayo mnapatana na yenyeewe yanakujengea nyumba na kukukabidhi kwa mujibu wa ramani yako. Mwenye kufahamu...
Nyumba ya kisasa mpya ndio imemalizwa kujengwa inapangishwa ukonga sitakishari. Ina vyumba vinne vya kulala, master bedroom. Ina garage, maji, umeme wa luku. Sh. laki tano kwa mwezi. kodi ya...
Jamani wana jf, kuna gari inauzwa.its in perfect condition ni aina ya cresta gx 100. inaendeshwa na mdada si unajua wanavyojali vyombo vyao...na namba plate ni BT something. Interested piga namba...
UNAFIKRA YA KWENDA MAREKANI KUFATA ELIMU BORA. SASA UNAWEZA KUPATA ELIMU HIYO HIYO POPOTE UKIWA TANZANIA KWA KUPITIA VIRTUAL SYSTEM yaani unafundishwa na walimu waliopo marekani na canada live...
wakuu heshima zenu,
natafuta camera tajwa hapo juu kwa ajili ya shughuli zangu, tafadhali mwenye nayo hata kama ni used lakini iwe kwenye hali nzuri anichek kupitia 713400763.
kazi njema!