Hello Jf
Spare zote za Bajaji na pikipiki kama
↔️ tyre
Rim
Bush
Bearings
Plugs
Engine mount
Block
Piston and Rings
Valve
Cylinder head
Brake shoe
Master brake
Rubber
Brake
Shock ups
cable gear...
MOTOROLA ( E 13)
Ipo DAR ES SALAAM
Bei; 110,000 (fixed price)
Sababu za kuuuza:-
Imenunuliwa mpya,so that one is currently not in use.
WhatsApp +255 629 526494
✨ Happy New Year 2026! ✨
As we step into a new year, we remain committed to growth, reliability, and delivering value at every stage of the supply chain.
2026 is a year for stronger...
Habari
Kampuni mpya ya jaha kutoka china imeleta bajaji mpya zinazotumia umeme, bajaji hizi ni bajaji za abiria na mizigo
Bajaji ya abiria
Bajaji za abiria zipo za aina mbili kuna kubwa na ndogo...
Wakuu nauza pikipiki yangu kwa 300k tu, nimepata dharura na mfukoni siko vizuri. Pikipiki ni Yamaha tatizo lake ni kabuleta tu, njoo uichukue kwa hiyo bei mwenyewe nimeridhia kwa moyo mkunjufu...
Viwanja viwili vinauzwa mpigi magoe
Unashuka kituo kinaitwa Machimbo
Ukubwa Mita 20/20 vipo viwili
Kila kimoja bei Mln 5.5
Kipo kiwanja kingine
Cha Mln 5.5
Maongezi yapo kidogo
0775 179905
Kuna dereva anatafuta bajaji ya kuendesha ya mkataba kwa maeneo ya dar es salaam..
Yupo tayari kufanya kazi mahali popote ndani ya dar es salaam.
Ni dereva mwaminifu.
Terms na vigezo vya mkataba...
Habari zenu
Frida insurance agent tunakata bima za magari ya aina zote chini ya taasisi ya bima ya taifa NIC
Malipo ni kupitia control number unapata cover note yako ndani ya dakika 10
Tunatoa...
Habari.. karibu kwa elimu na huduma ya bima za magari, BAJAJI, PIKIPIKI malipo ni kwa control number unapata cover note yako ndani ya dakika 10
Linda chombo chako cha moto na NIC insurance
NIC...
Nauza ac ya hisence used still new btub18000 kwa bei ya kutupa
Wazee huu ndio msimu wa joto sasa usikubali ofa kama hii ikupite hii ni ac dual inveter btu 18000, nimeitumia kwa miezi 9 na sababu...
Habari wana jamii forum,sisi ni wataalamu na wabobevu wa uchimbaji wa Visima vya maji kwa kutumia mitambo maalumu
Tunachimba visima virefu na visima vifupi
Pia tunafanya Underground water survey...
Habari wakuu.
Nyumba hiyo inauzwa ipo Tandika Sokoni inaukubwa wa sqm 350.
Hii nyumba ina jumla ya Frem30
Mchanganuo wake ni kama ifuatavyo hizo Frem za mbele kodi yake ni sh.150,000.hizo za...
Kama umechoka kuandika kila kitu kwenye daftari, unakosea bei kila siku, au hujui biashara yako ina faida au hasara – hii software ni yako!
Inaweza Nini?
Inaangalia biashara yako mwanzo hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.