Habari mdau, Jina langu halisi naitwa Lasco na inajishughulisha na uuzaji wa mapambo ya majumbani & Households mbalimbali baadhi yake ni pamoja na;-
-Mashuka (All types)
-Mapazia (All...
#Kupanga Ni Kuchagua
Habari za wakati huu wakuu, poleni na majukumu.
Wengi wetu tunaishi kwenye nyumba au vyumba vyenye nafasi ndogo—hasa mijini.
Changamoto kubwa siyo kwamba hatuna vitu vizuri...
Inahitaji matengenezo ya Pickup roller ili iweze kuvuta karatasi.
Ina hali nzuri sana.
Ipo Bagamoyo mjini,
Bei ni Sh. 200,000/- tu.
Mawasiliano: 0717002989
Iwapo umepoteza meno yako ya asili huna haja ya kubaki na mapengo , Kuna huduma ya meno bandia ya aina tofauti
1.Meno ya Kuvaa na Kuvua ( Removable Partial Denture )
2. Meno Ya Kudumu ( Full...
Services Offered:
1. Visa Consultation: We provide guidance on visa requirements, eligibility criteria, and application procedures for various countries.
2. Application Assistance: We help...
MINI FOCUS – Saa ya kiwango cha juu yenye two-tone stainless steel, muundo wa kifahari na tarehe iliyojengewa ndani.
Muonekano mtulivu, premium, na wa kuaminika kwa matumizi ya kila siku...
Mahali: Mivule Mipeko – Mkuranga
Ukubwa: 100 × 40 ft
Maji yapo
Umeme upo
Eneo ni tambarare, linapendeza na linafikika kwa urahisi
Lipo sehemu salama, jirani na makazi ya watu.
Linazuri kwa...
Habari za MDA huu.
Nauza hivi vitu haraka ndugu zangu
Nauza FULL COMPUTER SETUP HP CORE I5 IKIWA NA RAM 8GB,NA DISK GB 500 KIOO CHAKE NI CHA HP INCH 24.BEI INAENDA FULL 420000.
NAUZA DISK...
🚗 Brake Fluid Tester Pen – Kagua Ubora wa Brake Fluid Kwa Sekunde!
🔧 Universal • Digital • 5-LED Indicator
🔋 Faida Kubwa:
✔ Huonyesha kiwango cha maji kwenye brake fluid (0%–4%+)
✔ LED 5 za...
Bei/Price TSH 11.8M
Call +255 747 999 927
TOYOTA GRANDE MARK II
Year: 2003
Engine: 1,980Cc
Mileage: 89,000+
Transmission: AUTO
Alloy Wheels
Back Camera
Android Radio
Clean Interior
In Good...
Habari za masiku wakuu? Natumai nyote mpo salama, kwa wale waliotangulia mbele za haki tuwaombee kwa Mungu awaweke pema, na wale wagonjwa Mungu awape ponyo.
Tulipoteana kitambo kirefu kidogo...
Mahitaji ya mafuta ya petroli na dizeli maeneo ya vijijini yanazidi kuongezeka, ongezeko hili linatokana na kushamiri kwa shughuli za kiuchumi ikiwa ni pamoja na usafiri wa pikipiki maarufu kama...
Mpo salama wadau wa Dodoma? Nimeshusha mzigo wa mbao (Futi 12) pale karibu na uwanja wa Jamhuri. Bei zangu ni rafiki na mbao ni nzuri/bora sana;
2x2 - 2,500
2x3 - 3,700
2x4 - 4,700
2x6 - 7,000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.